CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,985
- 4,084
Shaka na falsafa ya "Uongozi wa pamoja kwa maendeleo endelevu"
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka Jumatano Februari 15, 2023 amekutana na kujitambulisha ikiwa ni pamoja na kuzungumza na Makatibu Tarafa, watendaji wa kata katika Wilaya Kilosa.
Shaka Hamdu Shaka akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama na viongozi wengine wa Halmashauri ya Wilaya hiyo waliokutana katika Ukumbi wa mikutano wa Madaraka ulipo Wilayani hapo.
#KaziKazini#
#Kilosayetufursazetu#
#Uongoziwapamoja# #MaendeleoEndelevu#