DC Mwanga amtupa mahabasu DED saa 24

DC Mwanga amtupa mahabasu DED saa 24

Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.

Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.

TAARIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 08 Januari, 2019 amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali.
Uteuzi huo utatangazwa moja kwa moja kupitia Redio, Televisheni na Mitandao kuanzia saa 6:45 mchana huu kutoka Ikulu, Dar es Salaam Gerson Msigwa on Twitter
 
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.

Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.
Kweli huyo ni 'Mbogo' yaache yaparurane tu! Utawala uliofitinika!
 
H
ili tupate kuelewana vizuri, DED mteule wa rais, DC mteule wa rais, si wanasemaga DED huwa ni.lazima awe mwana CCM na DC pia, ila DED ana sifa ya nyongeza tiss.ccm
Hii sifa ya nyongeza ya ded kuwa tiss sio kweli
 
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.

Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.
Madaraka oyeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom