DC Mwanga amtupa mahabasu DED saa 24

DC Mwanga amtupa mahabasu DED saa 24

Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.

Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.
Acha wawekane ndani ingependeza zaidi kwa masaa 72 badala ya hayo 24 kiduchu hivyo
Zidumu fikra za DC na jiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, kweli JF ya siku hizi imebadilika. Nimepitia kwa lengo la kupata angalau thread moja yenye kuelezea mazingira ya tukio lakini sijapata. Ila zimejaa thread za kushangilia kugombana bila kujua undani wa suala lenyewe!

Yaani ni JF ya zama za kushangilia tu bila kujua wala kuhoji undani!
Kuhoji nini?wapinzani wakiwekwa ndani na ma-Dc nani anahoji?

Huyo mkurugenzi sukumia ndani.,kongole nyingi kwa DC.
 
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.

Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.

Unajua, hizi 'sello' sasa zinaweza kutumika kama nyenzo za kuwaondoa watu nyumbani kwa masaa hayo 24 au zaidi ili watu wanufaike kivingine (wajirushe) bila kuwa na hofu!
 
laana huwa zinahamia kwa watoto. Lubuva yoyote nchi hii atakuwa mtu wa kudharauliwa.
 
Kwanza, alitakiwa aswekwe huyu Mkurugenzi na Afisa Utumishi wake.

Hakuna Afisa Mtumishi Mzembe na mwenye chuki kama wa Mwanga anaitwa JOSHUA MGOLI.

Yaani wapo waalimu katika wilaya yake wapo kazini na hawana mishahara mwaka mzima ila yeye hafuatilii kuwasaidia na wala hajali.

Yaani aliyeshiba hamjui mwenye njaa...nayeye ipo siku yake au hata kwa watoto wake.
Atakuwa mtoto wa lubuva huyu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
hahah waache wauane.
wakimalizana na sisi, watageukiana wao kwa wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuambia sasa hakuna WILAYA HOVYO kama ya Mwanga, labda huijui vizuri.

Ufuatiliaji wa mambo ya msingi ni 0. Watumishi hasa waalimu hawashughulikiwi katika shida zao.

Hasa kwenye Ofisi za Utumishi...ukitaka kujua nenda pale uone uzembe uliopo.

Ndio maana Makamu wa Rais mama Samia Suluhu alipoenda Kilimanjaro aligundua hilo.
Mwanga huko!!!!
Murungu!, vathitukondie wilaya yetu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom