M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
Tundu Lissu aliwaonya!hahah waache wauane.
wakimalizana na sisi, watageukiana wao kwa wao.
Tundu Lissu aliwaonya!hahah waache wauane.
wakimalizana na sisi, watageukiana wao kwa wao.
Kabisa namba zinasomeka kote koteMtoto wa lubuva mwenyekiti mstaafu wa NEC wacha waisome namba pumbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha yakulane yenyeweMkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.
Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.
Dohhhh!huko nliogopa Kufika mkuu ila najua humu kuna watu Wako vzuri kwenye kupembenua mambo
unatakiwa ujue alikuwa mwenyekiti wa mtaa wa Aina gani sio mitaa ya kiwira kule tukuyu au masuguru kule korogwe au namahechegwe MbingaDohhhh!huko nliogopa Kufika mkuu ila najua humu kuna watu Wako vzuri kwenye kupembenua mambo![]()
Kutoka mwnykt/s/mitaa mpk DED siyo mchzo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
hasa mialimu
hii awamu bana dah...viongozi hawaheshimu wananchi na wao pia hawaheshimiani!Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.
Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.
sijasema tiss nimesema tss.ccm.H
Hii sifa ya nyongeza ya ded kuwa tiss sio kweli
Uenyekiti wenyewe alifeli vibaya, yaani hawezi hata kuongoza nyumba kumi.Dohhhh!huko nliogopa Kufika mkuu ila najua humu kuna watu Wako vzuri kwenye kupembenua mambo![]()
![]()
Kutoka mwnykt/s/mitaa mpk DED siyo mchzo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ndio sifa ya kuwa DED?unatakiwa ujue alikuwa mwenyekiti wa mtaa wa Aina gani sio mitaa ya kiwira kule tukuyu au masuguru kule korogwe au namahechegwe Mbinga
ni mwenye kiti wa mtaa wa ostabay yalipo makao makuu ya idara pendwa pia zilipo safe house kibao za idara pendwa na watu wazito wa nchi Hii kuliko sehemu yoyote ya jamhuri kwahiyo anajuana na vigogo kibao kumbuka mageti ya nyumba za obay hayapigwi hoodiii hodiiii ni kengele za umeme na maccctv
Huyo DED ni mtoto wa Jaji Mstaaf Damian Lubuva aliyekuwa Mwenyekiti wa NECKuna Lubuva mwingine ni afsa manunuzi huko mikoa ya kusini jamaa ni hovyo kabsaa sijui ni ndugu na huyo DED!