DC Mwanga amtupa mahabasu DED saa 24

DC Mwanga amtupa mahabasu DED saa 24

Duh, kweli JF ya siku hizi imebadilika. Nimepitia kwa lengo la kupata angalau thread moja yenye kuelezea mazingira ya tukio lakini sijapata. Ila zimejaa thread za kushangilia kugombana bila kujua undani wa suala lenyewe!

Yaani ni JF ya zama za kushangilia tu bila kujua wala kuhoji undani!
 
Upendo, Mshikamano ni nguzo muhimu sana katika kufanya kazi kama timu moja. Wilaya haiwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kama DC, DED, OCD, DSO, DAS hawaelewani.
 
Kuna sheria zingine ambazo bado zinaifanya hii nchi ionekane ilipata uhuru bendera tu. Hii sheria ya DC kumuweka mtu ndani ni very repressive, colonial and inhuman.

Nini sababu ya kuwa na mahakama kama DC tu naye ni "de facto court". Labda tukiwekewa vikwazo kidogo walau akili inaweza ikaturudia tukaondoa hizi sheria kandamizi kama hii na ile ya uchochezi.
 
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aron Mbogho ameamuru kuwekwa mahabusu kwa saa 24, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo (DED), Zefrin Lubuva akimtuhumu kufanya makosa mbalimbali.

Mbali na Lubuva, adhabu hiyo imemkumba pia kaimu mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mwanga, Justine Valentino.
hili jina LUBUVA dahh nikikumbuka
 
Mzee jaji Damian lubuva nadhani ameshampigia simu jiwe akilalamika kusekwa ndani na kudhalilishwa kwa kijana wake mpendwa zefrin Damian lubuva aliangika kumsomesha huko marekani katika chuo cha YORK UNIVERSITY
 
Huyu hapa DED mwenyewe
 

Attachments

  • 11109_10154874470455463_3177026418471774689_n.png
    11109_10154874470455463_3177026418471774689_n.png
    24.3 KB · Views: 27
  • 206073_10151842033785463_1604175615_n.png
    206073_10151842033785463_1604175615_n.png
    104.4 KB · Views: 29
Back
Top Bottom