johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando na mwenzake wa Ulanga waliopata ajali leo wamehamishiwa hospitali ya taifa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi.
Msemaji wa Hospitali ya Rufaa Morogoro amesema viongozi hao hali zao zinaendelea vizuri na wako stable.
Dereva na Wauguzi wawili waliokuwemo kwenye gari ya DC wanaendelea vizuri.
Source: TBC
Mungu ni mwema wakati wote!
Pia, Soma=> Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando apata ajali ya gari
Msemaji wa Hospitali ya Rufaa Morogoro amesema viongozi hao hali zao zinaendelea vizuri na wako stable.
Dereva na Wauguzi wawili waliokuwemo kwenye gari ya DC wanaendelea vizuri.
Source: TBC
Mungu ni mwema wakati wote!
Pia, Soma=> Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando apata ajali ya gari