HahahaSijafurahi, lakini pia sijasikitika!
HahahaSijafurahi, lakini pia sijasikitika!
Wamehamishiwa Muhimbili wako stable.Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando na mwenzake wa Ulanga waliopata ajali leo wamehamishiwa hospitali ya taifa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi.
Msemaji wa Hospitali ya Rufaa Morogoro amesema viongozi hao hali zao zinaendelea vizuri na wako stable.
Source: TBC
Mungu ni mwema wakati wote!
Tunapoenda kwa Waganga wa Kienyeji Kuroga ili tupate Mafanikio na Teuzi tukifanikiwa tukumbuke kuwamalizia Pesa zao wanazotudai kwani hata Wao ( Waganga wa Kienyeji ) wana Familia zao.Huyu Msando mbona ameanza na majanga sana? Alivyoingia tu akapata majanga mawili kwenye wilaya yake.
Kazi za mikono ya wanadamuHuyu Msando mbona ameanza na majanga sana? Alivyoingia tu akapata majanga mawili kwenye wilaya yake.
Sijawahi kuona Mtu anayesababishia Matatizo Wenzake pengine hata kupelekea Wao Kufa au Kujeruhiwa nae akaendelea kuwa na Maisha mazuri, ila ninachojua Laana na Mikosi itamuandama tu.Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando na mwenzake wa Ulanga waliopata ajali leo wamehamishiwa hospitali ya taifa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi.
Msemaji wa Hospitali ya Rufaa Morogoro amesema viongozi hao hali zao zinaendelea vizuri na wako stable.
Source: TBC
Mungu ni mwema wakati wote!
Jambo jema ni kuwaombea bwashee!Sijawahi kuona Mtu anayesababishia Matatizo Wenzake pengine hata kupelekea Wao Kufa au Kujeruhiwa nae akaendelea kuwa na Maisha mazuri, ila ninachojua Laana na Mikosi itamuandama tu.
Wengine ni dereva na " wauguzi" wawili ambao hali zao zinaendelea vizuri!
MaDC wawili na Manesi wawili.Kweni hao ma DC ni Drs mpaka wawe na safari na manesi? Nafikiri Mungu naye angefanya tu yake
Karma....is a bitchHuyu Msando mbona ameanza na majanga sana? Alivyoingia tu akapata majanga mawili kwenye wilaya yake.
Kwa sie watanzania. Sijui nyie chadema!TBC ndo source yetu au siyo?
Ilikuwaje hii?Umenikumbusha Ditopile!
Umalaya bila umakini lazima ukuponze.Morogoro ni pagumu sana bwashee!
Adam Malima hawezi kupasahau!
Hao wauguzi walikua katika gari nyingnine.Kweni hao ma DC ni Drs mpaka wawe na safari na manesi? Nafikiri Mungu naye angefanya tu yake
Kosa kubwa la kuwapandisha viongozi zaidi ya mmoja kwenye gari moja. Ikitokea kama haya ndio utaelewa kwa nini viongozi hata kama wanaenda kumoja wanapanda magari yao tofauti tofautiMaDC na wenzao kwenye ajali waugue pole.
=====
Huyo DC wa ulanga mbona htajwi jina? MaDC wote walikuwa kwenye gari moja ama magari mawili tofauti!? Ajali imetokea eneo lipi, saa ngapi, kwa namna, gani, na maswali mengine kama hayo.
Uviko wa kumi na tisa ndio umejaa tele paleIsrael Yuko Viunga vya Muhimbili
Naamini hatotuangusha
Mkorinto tuingie ibadani sasaHuyo baharia haangalii adui zako peke yake,mpaka wapenzi wako na wewe mwenyewe anaweza kuwapitia.
Nawatakia soon recovery wote majeruhi katika ajali ile. Pia na ile Frester ya Dar Bk iliyoacha njia Isaka na kupoteza kijana wa miaka 35. Mnyazi Mungu awaponye haraka ajali ni mbaya sana hizi zisikie tu.Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando na mwenzake wa Ulanga waliopata ajali leo wamehamishiwa hospitali ya taifa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi.
Msemaji wa Hospitali ya Rufaa Morogoro amesema viongozi hao hali zao zinaendelea vizuri na wako stable.
Dereva na Wauguzi wawili waliokuwemo kwenye gari ya DC wanaendelea vizuri.
Source: TBC
Mungu ni mwema wakati wote!
Gari moja. STL yao iligongana heads on na DPF zote Vnane. Gari yao ilikua inawahi ku catch up na msafara wa waziri mkuu.MaDC na wenzao kwenye ajali waugue pole.
=====
Huyo DC wa ulanga mbona htajwi jina? MaDC wote walikuwa kwenye gari moja ama magari mawili tofauti!? Ajali imetokea eneo lipi, saa ngapi, kwa namna, gani, na maswali mengine kama hayo.