Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,081
Hata akihukumiwa kukaa jela saa 3 Udhalilishaji utakuwa umeshindwa na nguvu ya haki,demokrasia itaanza kuota ndani ya vichwa vya viongozi wote wanaofikiri kwa masaburi kama Gambo, Mnali n.k
kwenye kambi ya RitzmwizioneJuzi juzi nimesikia taarifa kwamba alikwenda kuzuia mabasi ya kampuni moja yaliyokuwa yanafanya safari za dar-arusha yasiendelee na safari hadi wasafiri wa mabasi hayo waliposhuka na kuziba barabara kuu ndipo mabasi hayo yakaruhusiwa kuondoka.
Huyu bwana mdogo hana busara kabisa sijui JK alimuokota wapi.
tatizo la utandawazi kuleta simu zenye internet, kila mtu mjuaji wa kujibu hata mada asiyoijua.
Yaani Unataka kuniambia kweli huyu ni Career Politician ??? Mtu angeweza kupata pesa zaidi ya Mwanasiasa Anayekimbia kimbia JUANI na kushikana Mikono na kila mtu hiyo kazi ya SIASA inahitaji MOYO wa kujituma na VIATU VIWE VISIWE na SOLI sawa lakini kukaa jukwaani na kuongelea HOJA MPAKA mwananchi akukubali MTU wa IT sioni kweli kama itampelekea kuwa a CAREER CHANGE; labda upate ya kubebwa but still... U can at least LAWYERS wanajua kukaa kwenye DAWATI MUDA MREFU na kuongea but an IT Person... SIJUI Unataka kulinganisha na CALL CENTER taht's not an IT PROFESSION...
Kazi ya mku wa wilaya ni nini! Tungeanzia hapo labda. Na tanzania Everyone can do anything. Kama JK anaongoza hii nini kisichowezekana? hata wewe Mkuu unaweza kuwa Rais. Urais sasa hivi ni RAHISI sana kama JK anavyonfanya na kina Zomba wanavyotaka kutuaminisha
Mkuu wa Wilaya Sio kukaa OFISINI na kupigwa na FENI na kusubiri MIRADI ya BURE ya kupewa kama VILE mfano Kuuza Dawa feki za Ukimwi na kujishibisha bila kujali Wananchi...
Mkuu wa Wilaya ni CHEO kinachotakiwa kugombewa kama UBUNGE kwa kuendesha WILAYA au MKOA na BAJETI yake kuangalia KODI na kukusanya; kutumia KODI walizopangiwa; kutengeneza barabara; kutembelea VIJIJINI; kuhakikisha VIJIJI vina MAJI SAFI SHULE BORA;
Ni kama Rais; Uumpe WILAYA; lakini SIO RAFIKI uumpe OFISI hana UPENDO na hiyo kazi ana UPENDO na kuchuma kinachotokana na hicho cheo; huyo SIO POLITICIAN ni MLAJI; MLAFI; FISADI... Sasa hata ukitaka kutoa kazi za MKUU WA WILAYA kwasababu ni PRESIDENTIAL APPOINTEE; Hakuna Majukumu... ni kufunga na kufungua WARSHA... Kuhakikisha Suti imepigwa pasi na viatu rangi haichafuki
Aligombea UBUNGE wa EA akakwanguliwa na Wabunge wa CCM alipata kura MMm kwa kifupi chache zaidi ya William John Malecela... Na bado akabeba CHEO CHA UKUU WA WILAYA; Tangu lini mtu aliyesomea Masomo ya Computer Science awe na Uwezo na HEKIMA ya kuendesha WILAYA bila MATUSI ??? Kubebana wanajua kuna ULAJI sehemu fulani, lazima waungane waubebe wale hizo pesa
KIONGOZI MKUU THE PRINCE...
Mpaka hapa sijamwona Ritz,Zomba,Tume ya Katiba, Thatha and the like! Nadhani aibu hii ya Gambo (Mrisho) imekuwa kubwa kwao!ubovu wa kuteuana; wengine sio Career Politicians ni Career Walaji... kwenda huko ni kutafuta kula!!!
ahamie wapi? akae hukohuko! wakuu wa wilaya wa l.....i......z...1
Gambo kafanya shambulio la aibu, bora awajibishwe!
Tafadhali ndugu hapo kwenye bold tutake radhi. Elimu haitengenezi au kuondoa busara. Bila hao computer scientists hii JF ungeisikia kwenye bomba.
Anyway back to the topic, kila mtu abebe mzigo wake. Kumwambia mwanamke kwamba "Degree yake ni ya chupi", sio tusi tu kwake bali ni udhalishaji wa kijinsia. Cha ajabu watu wako kimya, na bado anatamba ofisini.
Itabidi pia aithibitishie mahakama kuwa degree yake si ya chupi. Na Dc itabidi athibitishie mahakama kuwa degree ya mtuhumiwa wake ni ya chupi.
Huyo mama hajatukanwa wala nini ila ni deal la viongozi wa Korogwe baada ya kuona Mrisho anawabania ulaji wao waliouzoea manake njaa imekuwa kali na Huyo mama hana hata ushaidi kuwa Mrisho alimtukana labda akauokoteze na anunue mashahidi na kama atafanya hivyo basi uwanasheria wake ni ule aliokuwa anausema T.Lissu
Haieleweki wala kukaa akilini ati unamsingizia mtu kakutukana then unapeleka kesi mahakamani ulopwe million 90 then unaongeza 6m Njaa hii namshauri Mrisho Gambo baada ya kesi yake kushinda amgeuzie kibao na kumdai huyo mwanasheria twice ili akaendelee kuuza Chupi ili alipe fain ya kusingizia mtu...