GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,059
- 126,640
Kivipi? Kumbe na hiyo ID ni yako, ila hapa umeamua tu kuja na hii ID nyingine au? Rais Samia huwa hateui Wapumbavu.Ila anko sometimes unaanzaga ugomvi mwenyewe 😂😂😂
Kivipi? Kumbe na hiyo ID ni yako, ila hapa umeamua tu kuja na hii ID nyingine au? Rais Samia huwa hateui Wapumbavu.Ila anko sometimes unaanzaga ugomvi mwenyewe 😂😂😂
MwatamuuqDC namba 1 duniani inatajwa kuwa atajamishiwa Ngorongoro ili kunyoosha wakaidi huko
😂😂😂 kwahiyo nimekuwa Lucas?Kivipi? Kumbe na hiyo ID ni yako, ila hapa umeamua tu kuja na hii ID nyingine au? Rais Samia huwa hateui Wapumbavu.
Jijibu mwenyewe tafadhali.😂😂😂 kwahiyo nimekuwa Lucas?
Wamesema NgorongoroLoliondo imefutwa?
Makao Makuu ya Ngorongoro ni LoliondoWamesema Ngorongoro
Kwenye hii nchi asilimia 90 wanaishi kienyeji hata hiyo lease ya miaka kadhaa hawanaKasome msimamizi wa ardhi ya Tanzania ni nani? Wengine wote mnapangishwa (lease) kwa Miaka kadhaa, 33, 99.
😁🤣😂Huyo msaga sumu,Mzee Mangula hana hamu naye