DC Kinondoni, Ally Hapi ajivua sakata la Mdee

DC Kinondoni, Ally Hapi ajivua sakata la Mdee

Mdee ni halali yake kushikiliwa na jeshi la Polisi, si vizuri hata kidogo kumdhihaki Mkuu wa nchi na kudhihaki kazi nzuri inayofanywa na Rais tena Watanzania asimilia 98 wanamkubali Rais, Mdee ikiwezekana Afikishwe mahakamani na kufungwa hata miaka 7.
Kumbe alipata 98% kwenye uchaguzi?

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Unajua kuna mambo madogo madogo labda ndio yanafanya watu wafurahie mauwaji ya polisi.
Polisi wengi wanekerwa na utawala huu kuwalazimisha wawaonee watu wanafanya tu lakini mioyoni mwao wanajisikia vibaya kwani wanajua kuwa ni Udikteta umeshika kasi
 
Jamani Mungu wa mbinguni hadhihakiwi na mtu au mamlaka yoyote ile
 
Muda unaiacha hii serikali, badala ya kushughulikia mambo muhimu waliyoahidi, wao wanapoteza muda na mambo ya kipumbavu.

Ndo maana uchaguzi unapofika wanakuwa busy kupanga wizi wa kura. Ndo maana Mungu anazidi kuilaani hii nchi na hayo maombi hayatasaidia kitu kwani ni unafiki mtupu.
 
Serikali ya magamba inafanya kazi kwa mihemko.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Waonevu wakubwa, kwa nini Mungu asimchukue Happy?

Mkuu;
Huyo Mungu amchukue kumpeleka wapi Happy?? Segerea au Keko?? Usijali, hayo nayo ndiyo miongoni mwa majukumu ya kiongozi na Halima anayajua hayo ndo maana halalamiki. Muombee uzima tu na Happy azidi kufurahia nafasi yake
 
Mkuu;
Huyo Mungu amchukue kumpeleka wapi Happy?? Segerea au Keko?? Usijali, hayo nayo ndiyo miongoni mwa majukumu ya kiongozi na Halima anayajua hayo ndo maana halalamiki. Muombee uzima tu na Happy azidi kufurahia nafasi yake
Namchukia kupita kiasi
 
Hivi dhamana husubiri maelekezo mengine au ni haki ya mshukiwa, ningelikuwa mimi kwa sababu sijapewa sababu ya msingi ya kuzuia dhamana yake ningemruhusu apate dhamana, kwa kuwa kama hukujipanga kwa nini umkamate
 
nimecheka hapo taarifa iliposema kua ameanza kula,....chadema kwa maigizo; mi nilifikiri yuko 'serious' na suala la kutokula!
Watanzania watu waajabu sana badala ya kulaani vitendo vya huyo anayejiona ndugu yake yesu kunyima haki ya mtoto wa kike kupata elimu mna mdhihaki halima,vichwa vya watanzania vinamatatizo.
 
kama Halima ndiye angekuwa mchochezi, athari za alichokisema zingedhihirika sasa alivyoswekwa ndani.
ila uchochezi unaoweza kuleta athari ni huu unaofanywa sasa na polisi kutokana na manyanyaso wanayomfanyia.

kama serekali yenyewe ilivyokiri haijui motive ya mauaji ya huko MKIRU. hakuna Mtanzania yeyote (nikiwemo mimi mwenyewe hapa) ajuaye sababu za mauaji hayo.

ni nani ataweza ku-rule out possibility kuwa chanzo cha yote kinaweza kuwa ni uonevu na manyanyaso ya vyombo vya dola kama anavyofanyiwa Mh Halima sasa?? kila mtu ana jibu lake, lakini muda ni ndiye hakimu.

busara should come above everything in the meantime.
 
Back
Top Bottom