betty marandu
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 1,163
- 723
Atachukuliwa tu kwa hakuna nafsi itakayodumu dunianiWaonevu wakubwa, kwa nini Mungu asimchukue Happy?
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Atachukuliwa tu kwa hakuna nafsi itakayodumu dunianiWaonevu wakubwa, kwa nini Mungu asimchukue Happy?
Inawezekana wewe ndo unaetafutwa kibiti nini?Kwanini Halima Mdee asife tu maana lolote DAR
Anasema siku moja huyu raisi atatuambia tutembee uchi. Inategemea imaarufu vipiMama'ko kuvuliwa nguo akatembezwa barabarani siyo tusi?
Lofa ndiyo tusi?
Kwa akili hizo, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Huyu DC aburuzwe mahakamani haraka sana!! Tundu Lissu, Kibatala, Professor Safari unganeni katika hili! hawa wakutumwa wasiotumia ubongo watatumaliza! Ona sasa polisi wanatupiana mpira ovyo

Watoto wengi walio jiunga JF 2017 hawatumii akili. For your information huyo Halima umaarufu wake umeongezeka mara dufu. Huyo anae jiona Mungu mtu ikifika 2020 atajuta ! Maana uchumi utakuwa umesambaratika na ninyi wajinga hiyo 7000 hamtaipata!Umenikumbusha mchango wa Simbachawene pale mjengoni! Lakini Halima atakuwa amenyooka.
mtoto wa kike hatukani matusiMibaba mizima hawaoni aibu kwa huyo mtoto wa kike mwishowe watamwachia mapambano yatendelea km kawaida
msemo wako hii kweli ni hawamu ya visasu!!Hawamu ya 5 ni hawamu ya Visasu...
Mimi naona hakuna haja ya upinzani Tanzania ni bora kibaki chama kimoja maana hakuna haja ya kukandamiza upinzani kisa wanasema ukweli
Namshauri Mwenyekiti Mbowe ajiondoe na wabunge wake wote nchi za mangaribi zenye mataifa makubwa waje wawe ndo wapinzani
Mbunge aliechaguliwa kwa kura ni mtu mkubwa sana kumfananisha na huyo alietuliwa nchi za Afrika upinzani bado sana no need have Opposition parts
Labda baada ya miaka 50 ijayo
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
HahahahaAtachukuliwa tu kwa hakuna nafsi itakayodumu duniani
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app