DC Kinondoni, Ally Hapi ajivua sakata la Mdee

DC Kinondoni, Ally Hapi ajivua sakata la Mdee

Kwa sasa sasa si mahakama wala polisi ambao wanafanya kazi zao kwa Uhuru bali ni shinikizo na Amri toka juu tu, kuna baadhi ya polisi hawapendi uonevu na wanachukia kuwajengea chuki dhidi ya wananchi.
Sahv polisi,mahakama,bunge zote wanaskia magizo tka juu ....sjui tfanyeje sasa maana dah

Ova
 
DC wa kiki sana huyo, akumbuke duniani hatukuja na kitu na wala hatutaondoka na kitu UDC usimfanye mtu kujiona Mungu mtu wa wilaya
 
Hii ndo njia sahihi ya kuwatreat viongozi wasio na nati vichwani wanaoropokaropoka bila kutumia akili. Akitoka huko akili labda itakuwa imemrudia
 
Makaburu walimfunga Mandela miaka 27 jela ili kumnyoosha ila matokeo yake walinyooka wao makaburu.

Sent from my SM-N920V using JamiiForums mobile app
 
Very unfortunately....this handling of minor issues is inconsistent with the bigger version of Tanzania

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Bado anajipima , akipona atajinyofua kama gada la nyoka.
 
Sizonje kachoka amefikia hatua ya kugombana hadi na kinaa mama!

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tumeshapimwa na tumewekwa kwenye mizani na daraja linalotufaa. Bado hatujafikia kwenye utu na uungwana. Wazungu w anasema we are in process of being civilised.
 
wanazidi kumpa sifa uchaguzi ukifanyika hata kama hatofanya kampeni lazima atashinda tu,tena kwa kura nyingi sana
 
nimecheka hapo taarifa iliposema kua ameanza kula,....chadema kwa maigizo; mi nilifikiri yuko 'serious' na suala la kutokula!
Wengine tunashutumu kukamatwa na kushikiliwa kwake, ila kukaa na njaa babu hapo tulimuona zuzu! Njaa mwanaharamu aise! Kwanza ukila ndio wapata nguvu hata kufikiri utapambana vipi na wanaokutuhumu, ila yadhihirisha hata wabunge pamoja na kukataa futari bado wanasikia njaa kama sisi! Hahahaha..🙂😉
 
Mbona inakuwa hinyolakini .

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Na vyeo vyenu vya kuteuliwa ipo siku mtasota kama wanavyosota wenzenu sasa,uzuri hata muwanyanyase huku nyie mkipaki na kubadilisha maisha kwa unafiki njia ya kifo ni moja tu na haikwepeki!!!
Hongera hapi mnafiki subiria kupewa ukuu wa mkoa maana ndo kauli mbiu zenu kujipendekeza na kufanya unafiki mpewe vyeo
Leo utasikia mmevamia shamba la mtu wa upinzani au mmekamata meya wa upinzani
Au mmekula rambirambi!!!

Je ni Mara ngapi viongozi wenu wanafanya ya ovyo mnayafumbia macho??
Kwani huyo alietoa tamko ni sheria kwamba wengine hawawezi kuiongelea tena???
Mnakera sana enyi madici na marc wa mwendo kasi

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Wana roho kama shetani. Nashangaa kabisa huwa wanaenda kanisani na kuomba kuombewa huo unafiki mkubwa sana. Ulevi wa madaraka ni mbaya kuliko ulevi wa kiroba!
Bashite na baba Jesca hawana huruma kabsa roho zao ni kama za Bokassa, iddy Amini, sadam Husein, chiluba wanatamani kusikia chadema, matajiri na wale wenye visasi nao wote wamekufa kabsa.
 
Magufuli anajidanganya kuwa ni Mungu lakini huku anatuomba tumwombee ili Mwenyezi Mungu ahalalishe dhuluma zake dhidi yetu jambo ambalo haliwezekani.

Kamwe Mwenyezi Mungu hatamhalalisha mwovu bali atamkemea
 
Back
Top Bottom