Mhakiki
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,306
- 1,993
2018 mwezi kama huu nilikuwa nawafundisha uraia std VI kuhusu aina za wabunge wa bunge LA JMT nikawaambia hata mwanasheria wa serikali ni miongoni KWA aina za wabunge.
Mtoto mmoja akauliza mwanasheria wa serikali wa sasa ni nani? Kabla cjatoa jibu wengine wakasema niTundu Lisu mwingine akasema tena amepigwa risasi na watu waliotumwa na jiwe KWA sasa hayuko Tanzania yuko Hospital.Nikawaza moyoni hata watoto wanajua aliyefanya uanimolu huu.
Sasa wanaokanisha kwamba serikali haihusiki wanajisumbua na kuhangaisha ubongo wao ila haya shetani anawashangaa KWA kujitoa ufahami kiasi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto mmoja akauliza mwanasheria wa serikali wa sasa ni nani? Kabla cjatoa jibu wengine wakasema niTundu Lisu mwingine akasema tena amepigwa risasi na watu waliotumwa na jiwe KWA sasa hayuko Tanzania yuko Hospital.Nikawaza moyoni hata watoto wanajua aliyefanya uanimolu huu.
Sasa wanaokanisha kwamba serikali haihusiki wanajisumbua na kuhangaisha ubongo wao ila haya shetani anawashangaa KWA kujitoa ufahami kiasi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app