Kwa sasa atapata wa kumuoa soon maana kile kizuizi hakipo tenaMkuu umuoe anatafuta bwana kwa nguvu zote na amewahi kusema waziwazi, huyo hata boda anamuona maana ana kiu ya kuolewa lakini hapati mwanaume, japo ni mjane mdogo wa taifa lakini ndiyo hivyo tena.
Rudi kwenye mada na punguza maaba.Tunaongelea kifuaWewe unaishi karne ya ngapi?
Tupo 21st century sasa,maswala ya kuwaambia wanawake wavae mavazi marefu Ili midume isifadhaike tuliyaacha mwaka 47!mtoto kama huyu inabidi apige vitu vikali juu ya goti,kama USA,au UK!!
Mbeya kuna baridi sana hata kama yuko dar bado baridi la Mbeya linamfuataUnataka avae magauni ya Tulia nakufunga zipu hadi shingoni?
Ni kwanini hazai na Mimba inamgomea?Kwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe....
Funika kifua chako wewe mama, unataka nini, sura inatosha kuvutia wanaume, sasa unataka nakifua kivutie acha hizo ,, Huku kwetu ukija kama mkuu wa wilaya tunakuvalisha nguo zinazofunika kifua, Badilika sasa mamaKwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe...
Umejuaje mimba inamgomea?Ni kwanini hazai na Mimba inamgomea?
Mbona kavaa poa tu.Labda uwe na ugonjwa ndiyo utapata tabu.Kwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.
Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.
Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.
Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.
Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.
Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.
Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.
Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza
View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Mkuu, mbona Jokate hajavaa vibaya katika mavazi yote uliyoweka hapa? Usije kuleta ushamba wa dini hapa na kulazimisha mtoto wa watu avae magunia kukuridhisha wewe na itikadi zako za kidini.Kwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.
Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.
Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.
Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.
Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.
Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.
Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.
Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza
View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Wivu utakuuaHuyu toka zamani hakuwa na sifa ya kuwa kiongozi wa uma, huyu bint alifeli kwenye sanaa 100% akaokotwa na kupewa shav lakini ata elimu yake mimi nina wasiwasi nayo sidhani kama anaweza kujielezea yeye mwenyewe ata kwa mistari miwili.,
Tanzania ina utamaduni mbov sana kwenye teuzi, ni mtu unamteua ili asitirike kutokana na ukali wa maisha tu hakuna ufanisi kitaaluma labda kiongozi kuwa creative na kuleta faida kwa taifa.,
The way ur going onTatizo kifua, kiko nje
Hivi hjyu kuna Kazi gani Nzuri ameifanya ?Kwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.
Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.
Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.
Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.
Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.
Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.
Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.
Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza
View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Tisa ninaowajua wameshindwa Kumtia.Umejuaje mimba inamgomea?
Muongozo wa mavazi wa watumishi wa umma unakataza mwanamke kuacha kifua waziWewe ni kama yule mbunge tu, wivu tu, kuna muongozo juu ya mavazi watumishi wa umma wanatakiwa wavae nini, mpaka kuvaa hivyo tayari ameshapitia na kujilidhisha joket, usikengeuke acha midadi