DC Jokate, huu ni muda sasa wa kubadili aina ya mavazi yako

Wewe ni kama yule mbunge tu, wivu tu, kuna muongozo juu ya mavazi watumishi wa umma wanatakiwa wavae nini, mpaka kuvaa hivyo tayari ameshapitia na kujilidhisha joket, usikengeuke acha midadi
 
Wewe unaishi karne ya ngapi?
Tupo 21st century sasa,maswala ya kuwaambia wanawake wavae mavazi marefu Ili midume isifadhaike tuliyaacha mwaka 47!mtoto kama huyu inabidi apige vitu vikali juu ya goti,kama USA,au UK!!
Rudi kwenye mada na punguza maaba.Tunaongelea kifua
 
Funika kakifua acha ujinga wewe mama
Kwako DC Jokate

Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe...
Funika kifua chako wewe mama, unataka nini, sura inatosha kuvutia wanaume, sasa unataka nakifua kivutie acha hizo ,, Huku kwetu ukija kama mkuu wa wilaya tunakuvalisha nguo zinazofunika kifua, Badilika sasa mama
 
Anza kumrekebisha mkeo maana naimani anavaa hovyo sana kuliko Jokate wetu🙂
 
Kwako DC Jokate

Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.

Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.

Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.

Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.

Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.

Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.

Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.

Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza

View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Mbona kavaa poa tu.Labda uwe na ugonjwa ndiyo utapata tabu.
 
Nchi ngumu sana hii.
Hayo mavazi yana shida gani?
Sema tu avae kininja acha kuzunguzunguka si tunafahamu wewe ni alshabaab wa Msumbiji kaskazini?
 
Binafsi naona kavaa kiheshima tu vizuri.

By the way, huyu mh DC ameshaolewa? au bado?

She looks young forever!

Kuna jamaa yangu anampenda sana huyu DC, miaka miwili nyuma alikuwa anatamani mno kupeleka posa lakini alikuwa anaogopa sana! Sababu ya 'kuogopa sana' hakuwahi kunieleza.

-Kaveli-
 
Kwako DC Jokate

Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.

Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.

Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.

Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.

Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.

Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.

Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.

Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza

View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Mkuu, mbona Jokate hajavaa vibaya katika mavazi yote uliyoweka hapa? Usije kuleta ushamba wa dini hapa na kulazimisha mtoto wa watu avae magunia kukuridhisha wewe na itikadi zako za kidini.
 
Huyu toka zamani hakuwa na sifa ya kuwa kiongozi wa uma, huyu bint alifeli kwenye sanaa 100% akaokotwa na kupewa shav lakini ata elimu yake mimi nina wasiwasi nayo sidhani kama anaweza kujielezea yeye mwenyewe ata kwa mistari miwili.,

Tanzania ina utamaduni mbov sana kwenye teuzi, ni mtu unamteua ili asitirike kutokana na ukali wa maisha tu hakuna ufanisi kitaaluma labda kiongozi kuwa creative na kuleta faida kwa taifa.,
Wivu utakuua

kinachofata ni Jojo kuwa Mkuu wa Mkoa ndo akili zitakukaa sawa
 
Mawazo ya aina hii ndio yaliyokijaza kichwa chako, unaukagua mwili wa mtoto wa kike ukitafuta nini?

Ewe mnafiki, huwa mnalaumu Magufuli alikuwa dikteta, ila wewe na haya mawazo yako ya kuingilia mavazi ya mwingine hujioni kama u-dikteta pia, sijui mtaamka lini nyie viumbe.
 
Kwako DC Jokate

Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.

Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.

Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.

Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.

Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.

Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.

Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.

Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza

View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Hivi hjyu kuna Kazi gani Nzuri ameifanya ?
 
Wewe ni kama yule mbunge tu, wivu tu, kuna muongozo juu ya mavazi watumishi wa umma wanatakiwa wavae nini, mpaka kuvaa hivyo tayari ameshapitia na kujilidhisha joket, usikengeuke acha midadi
Muongozo wa mavazi wa watumishi wa umma unakataza mwanamke kuacha kifua wazi
images (23).jpeg
 
Back
Top Bottom