Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 804
- 956
Hapana kurestart kuna maana yake
Jaribu kubonyeza lock button na volume down kwa wakati mmoja..
Hapana kurestart kuna maana yake
Hapana kurestart kuna maana yake
Hapo utaitaji ftf file la Sony Xperia Z1 Compact,, sasa inabidi uhakikishe kama model number ni d5503 au vinginevyo.. Baada ya kupata .ftf file utahitaji Sony Flashtool tool kwa ajili ya kazi nzima ya kuinstall hiyo Android Lollipop mkuu..
Pia usisahau kuweka Sony PC Companion ili upate drivers zote..
http://xperiafirmware.com/8-firmware/46-sony-xperia-z1-compact-d5503
Natumia Xperia z imetoka rubber ya pembeni sehemu yakuchajishia je naweza kupata hiyo rubber?
Ugumu wake upo wapi? huna hiyo application kwenye laptop/computer au huna mtandao wenye kasi au hujui wapi pa kuanzia? update huwa ina karibu 700mb ama zaidi. Ukitaka ku update simu lzm iwe na chaji ya kutosha, zaidi ya 50%. Ni mchakato mwepesi ambao application inakupa maelekezo, mengine inafanya yenyewe.
nina sony experia s50h, ilikuja na application za game za kichina nimetafuata namna ya kuzi'unstall ' nimeshindwa. pia haitaki kupokea application ya google play store kwa sababu eti my browser are no longer supporting the application , nilibadili nikatumia opera, safari, mozilla zote zilikataa. nataka kuondoa game app za kichina niweke za kizungu/kiingereza, nataka install google play store, pia kuna baidu web browser haina lugha ya kiiingereza kama unajua namna ya kuweka kwenye kiingereza itakuwa faida kwangu.
Kwa hiyo hakuna namna ya kuifanya iwe Africa version , Tanzania in particular...?Hiyo ni Chinese version mkuu (kwa ajili ya soko la China)
nina sony experia s50h, ilikuja na application za game za kichina nimetafuata namna ya kuzi'unstall ' nimeshindwa. pia haitaki kupokea application ya google play store kwa sababu eti my browser are no longer supporting the application , nilibadili nikatumia opera, safari, mozilla zote zilikataa. nataka kuondoa game app za kichina niweke za kizungu/kiingereza, nataka install google play store, pia kuna baidu web browser haina lugha ya kiiingereza kama unajua namna ya kuweka kwenye kiingereza itakuwa faida kwangu.
Sijui pa Kuanzia mkuu
1. Ingia Google kwenye computer, andika "download Sony PC companion", halafu i download toka kwenye links zitakazokuja. Hasa tafuta link ya Sony. Ukiipata, download and install.
2. Ukisha install, ifungue hiyo program hlf unganisha simu yako na computer kwa kutumia USB cable, hiyo program itatambua aina ya simu yako (hakikisha upo connected na mtandao)
3. Iki detect itakupa jina la simu yako na pia itasema kama simu yako inahitaji updates, na itakupa maelekezo ya kufuata ili uweze ku update simu yako.
MUHIMU: Maelekezo ni rahisi, hakikisha chaji ya simu ni zaidi ya 50%, nayo itakuambia. Ukifuata maelekezo vzr, wewe utakaa kuwa mtazamaji huku yenyewe ikimaliza mchakato wote na itasema simu yako ipo tayari.
So computer au laptop aina Yyt inaweza kufanya update maana nina acer hapa dou core, ram 1gb je inaweza kufanya kaz kwa ufanisi?
Kama una tatizo lolote na Sony Xperia yeyote tujuze tukusaidie
(Huduma hii haipo kwa simu za Sony Ericsson)