Mkwaju Ngedere
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,046
- 872
Tumelipokea tutalifanyia kazi mapemaHivi DAWASCO HAMTAKI KUTATUA TATIZO LA HAPA TABATA KISUKURU eneo la KILIMANJARO? Kwa nini mnaendelea kutupa adhabu ya kutunyima huduma ? Tunaomba mjitafakari kabla UVUMILIVU WETU haujafikia kikomo
Fika ofisi ya Dawasco unayohudumiwa..watakupa fomu ya kubadilisha namba ya kupokelea ujumbe wa bili kila mweziNataka kubadili namba ya kupokelea ujumbe wa bili kila mwezi. Inakuwaje?
Mradi bado haujakamilika..ukikamilika tutawataarifu wananchi ili waje kujiunga na wapate huduma ya majiHabari ya asubuhi,
Mimi ni mkazi wa Mbezi juu - Jogoo, karibu na Kerai Construction ltd. Tuna mfumo/mtandao wa mabomba uliowekwa na mradi wa Mchina. Kwa muda wote hatuna maji. Nilifika Dawasco Kawe - Nov. 2017 kuomba kuunganishwa kwenye mtandao. Niliambiwa nisubiri mradi wa matanki yanayojengwa Salasala/Tegeta ambao utakamilika January 2018. Hata hivyo mpaka sasa bado kimya.
Tafadhali naomba kujua kinacho endelea, ili niweze kutuma maombi ya kuunganishiwa maji.
Nawasilisha.
DAWASCO
Kukamilika kwa visima vya mpiji na mpera kutasaidia upatikanaji wa maji maeneo ya chanika na maeneo jiraniChanika hamna maji na sijasikia kama mna mpango wowote ule wa kuleta maji.Tunaomba mtujuze lini mtatuletea maji?
Tunaomba account namba yako pamoja na mawasiliano yako tuweze kukuweka kwenye systemDawasco mnakera. Eneo la Mikocheni B mbele ya 5 Star Apartment kuna shimo limechimbwa na Dawasco na lina zaidi ya mwaka na ni chanzo cha ajali usiku. Kwa nini wachimbe mashimo kwa ajili ya kurekebisha mifumo ya maji na kujisahaulisha? Mimi nina mwaka wa pili sipati tena sms ya bill ya maji, why Dawasco?
Ahsante kwa kupata muda wa kujibu.Mradi bado haujakamilika..ukikamilika tutawataarifu wananchi ili waje kujiunga na wapate huduma ya maji
Msewe sehemu ganiKuna mto umepita maeneo ya Msewe, huu mto huwa haukauki hata kipindi cha kiangazi hapa dar, mwisho wa siku umebatizwa jina na kuitwa MTO WA DAWASCO.
Hii ni kwa sababu ya kutiririsha maji ya bomba ya Dawasco kila kukicha, sijui kama mnafanyaga hata kitu inaitwa Water auditing !
Rudia text Yangu kusoma nafikiri hujaielewa, ungenielewa usingeuliza hili swaliMsewe sehemu gani
Msewe kubwa..sema mtaa ulipo huo mto ili iwe rahisi kwa mafundi kufika..text yako tumeisoma hatujajua msewe ipiRudia text Yangu kusoma nafikiri hujaielewa, ungenielewa usingeuliza hili swali
Naposema mto umepita Msewe simaanishi mto upo msew Bali umepita Msewe elewa hilo, huu mto bila shaka umepita maeneo mengi kuanzia Kimara huko, njoo maeneo ya Golani mpaka huku Msewe, hii inamaana maeneo hayo yaliyopitiwa na MTO huo hutililisha maji ya bomba zenu season zote,Msewe kubwa..sema mtaa ulipo huo mto ili iwe rahisi kwa mafundi kufika..text yako tumeisoma hatujajua msewe ipi
Asante sana tunaifuatilia na kuhakikisha maji hayapotei tenaNaposema mto umepita Msewe simaanishi mto upo msew Bali umepita Msewe elewa hilo, huu mto bila shaka umepita maeneo mengi kuanzia Kimara huko, njoo maeneo ya Golani mpaka huku Msewe, hii inamaana maeneo hayo yaliyopitiwa na MTO huo hutililisha maji ya bomba zenu season zote,
Hapa sio ishu ya msewe pekee ni mjumuiko wa maeneo Mengi ambayo inaonekana Miundo mbinu yenu imeharibika na hamfanyi survey za kutosha kujua ama kupewa info na wananchi wanaozunguka miundombinu yenu.
Mi Naku alert tuu, we jalibu kufanya huo utafiti, najua dar hamna mto wenye annually flow of water lkn utashaangaa huu mto hutoa wapi maji kipindi cha Kiangazi ! Jibu nishakupa ,fanyieni kazi.
Kumalizika kwa Mradi wa visima vya kimbiji na mpera utasaidia kuleta huduma ya maji pugu na maeneo jiranTunaomba mtusambazie na kutuunganishia maji Pugu shule ya msingi
Asante kwa kunielewaAsante sana tunaifuatilia na kuhakikisha maji hayapotei tena
Kwa makadirio au matarajio mradi unaweza kuchukua muda ganiKumalizika kwa Mradi wa visima vya kimbiji na mpera utasaidia kuleta huduma ya maji pugu na maeneo jiran
Mwaka wa fedha 2018/2019Kwa makadirio au matarajio mradi unaweza kuchukua muda gani