Dawasa: Mtambo wa Maji Makongo juu wawashwa na maji yaongezeka, Mabwawa 26 yaliyochepusha maji ya Ruvu yakamatwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,879
Waziri wa maji Juma Awesu amesema mgao wa maji utapungua sana kama siyo kumalizika kabisa baada ya mitambo ya maji ya Makongo juu kuwashwa na maji kuingia kwa wateja.

Pia, mabwawa ya kufugia samaki zaidi ya 26 yaliyochepusha maji ya mto Ruvu yamekamatwa na hivyo maji yamerudishwa kwenye mkondo wake ili yaelekezwe kwa wananchi.

Chanzo: ITV habari!
 
Waziri wa maji Juma Awesu amesema mgao wa maji utapungua sana kama siyo kumalizika kabisa baada ya mitambo ya maji ya Makongo juu kuwashwa na maji kuingia kwa wateja.

Pia, mabwawa ya kufugia samaki zaidi ya 26 yaliyochepusha maji ya mto Ruvu yamekamatwa na hivyo maji yamerudishwa kwenye mkondo wake ili yaelekezwe kwa wananchi.

Source: ITV habari!
Hii taarifa ni hovyo hovyo.

Tunaingia miaka 60 ya uhuru kwa style ya kushindwa kuleta maendeleo yenye tija kwa wananchi.

Miaka 60 tunategemea mto Ruvu kama chanzo cha kusambaza maji Dar.
 
Waziri wa maji Juma Awesu amesema mgao wa maji utapungua sana kama siyo kumalizika kabisa baada ya mitambo ya maji ya Makongo juu kuwashwa na maji kuingia kwa wateja.

Pia, mabwawa ya kufugia samaki zaidi ya 26 yaliyochepusha maji ya mto Ruvu yamekamatwa na hivyo maji yamerudishwa kwenye mkondo wake ili yaelekezwe kwa wananchi.

Source: ITV habari!
Tengeneza tatizo halafu litatue kwa mbwembwe ili huonekane hero

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa maji Juma Awesu amesema mgao wa maji utapungua sana kama siyo kumalizika kabisa baada ya mitambo ya maji ya Makongo juu kuwashwa na maji kuingia kwa wateja.

Pia, mabwawa ya kufugia samaki zaidi ya 26 yaliyochepusha maji ya mto Ruvu yamekamatwa na hivyo maji yamerudishwa kwenye mkondo wake ili yaelekezwe kwa wananchi.

Source: ITV habari!
Nimoja ya picha la kihindi tunachezewa
 
Hii nchi ngumu sana! Ina vyombo vyote vya ulinzi na usalama hadi ngazi ya nyumba kumi, na ulinzi shirikishi juu ila bado inaibiwa maji na mafuta toka mabwawa yake na tanki kuu la mafuta respectively.
Kuhusu ile 1.5 trilioni ya profesa Assad bila shaka ilikuwa kuchepushwa tu akaunti toka BOT kwenda mfumoni mwa bwana maburungutu ya njiani
 
Back
Top Bottom