luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Imetia mwezi sasa tangu nipeleke maombi ya kuunganishiwa huduma ya maji katika pagalu langu lililopo Picha ya Ndege lakini hawa jamaa wa DAWASA hawajatuma hata surveyor.
Isitoshe unapotembelea pale ofisi kwenu wateja wengi hufika pale na malalamiko mbalimbali ya huduma mbovu mnazotoa, hamna good customer care kuanzia receptionists wenu mpaka Engineer wenu in short mna kauli mbovu na MNAKWAMISHA maendeleo ndani ya nchi.
Isitoshe unapotembelea pale ofisi kwenu wateja wengi hufika pale na malalamiko mbalimbali ya huduma mbovu mnazotoa, hamna good customer care kuanzia receptionists wenu mpaka Engineer wenu in short mna kauli mbovu na MNAKWAMISHA maendeleo ndani ya nchi.