Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,671
Naam pumzi/Pumu,
wale wa kisukari dawa wanatumia hiyo,
gesi kujaa tumboni,
matatizo ya kizazi na uzazi,
mafua, malaria, UTI,
HIV-ref: inaua virus,
Many many more.
Pia unaweza ukaitumia kama Tiba at the same time ukaitumia kama Kinga ya magonjwa mbalimbali maana unajua binaadam hatuishi mambo.
Sijaona Ulcers hapo... Dawa ya Ulcers ni ipi mdada jamani