Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Naomba unielekeze namna ya kutengeneza mafuta ya vitunguu swaumu please!Oooh pole, Chukua kitunguu saumu punje 5 kata kata vipande vidogo meza kama dawa.
Halafu chukua punje mbili ponda upake sehemu husika kama una mikwaruzo itauma kidogo vumilia kama hauna mikwaruzo utakua shwari tu. endelea na zoezi hilo mpk utakapo pona.
Mafuta yake unaweza kutengeneza mwenyewe nyumban ni rahisi sana, ufanye kama ndio mafuta yako ya mwilini.
Ukipona unitafute uninunulie japo juice ya Stafeli.... lol.