BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
Huyo mzee ni mpiga dili me namjua sana hapo anatengeneza mazingira awaokote watu ajifanye anawaagizia kwa bei hiyo....
Anasahau bei pia zinaenda na ujazo. lol.

kwa elfu 20 nachukua 4, na napona vizuri kabisa ...
