Dawa za kisunna zinasaidia kweli?

Dawa za kisunna zinasaidia kweli?

9fb5e0ac8abbb0e1160ccb2588c31280.jpg


Inauzwa kwa bei ya elfu tano chupa hiyo, ipo ndogo yake bei ya elfu 4.... hapo ni kwa Dar mikoa mengine nasikia ghali.

Hayo ni mafuta unakunywa kijiko kimoja cha chai asubuhi baada ya chai sio kabla na usiku baada ya chakula sio kabla.

Aiseee hautajuta nakuapia, nina ushuhuda nayo sana mafuta haya ni mkombozi wa familia yetu.

Lakini pia kun unga wake, mimi ulinishinda mkali sana nikitumia napata kizungu zungu hadi kutapika japo wanasema kutapika au kuharisha ndio tiba yenyewe.
Yanasaidia nn hasa make kama unasema yamekusaidia kuna vitu havikuwa sawa kwenye mwili mpaka ulipoanza kutumia hayo mafuta.Ungeaema ulikuwa unajisikiaje before ili isaidie na wengine.
 
Yanasaidia nn hasa make kama unasema yamekusaidia kuna vitu havikuwa sawa kwenye mwili mpaka ulipoanza kutumia hayo mafuta.Ungeaema ulikuwa unajisikiaje before ili isaidie na wengine.
Dada yangu alikua amejaa maji kwenye kizazi baada ya kutumia dawa bila mafanikio suluhisho ikawa op,
Ndio Aunt angu akamletea hayo mafuta huwezi amini in two weeks hakuna tena maji na yupo poa hadi leo hii ana expect a baby.

Mama angu mkubwa alikua ana tatizo la gesi kujaa hadi wakaitoa lakini wapi, baada ya kutumia hayo mafuta madaktari wenyewe walishangaa mpk sasa tatizo halijarudi.

Mimi Moyo ulikua una sumbua kulala siwezi, nikawa nakunywa unga wake in three days niliweza kulala baade nikabadilisha nikaanza kunywa mafuta mpaka sasa sijawahi kulia tena kuhusu moyo.

Shuhuda zipo nyingi na kila ninayemuelekeza hajawahi kujutia.
 
Acha kabisa, huko ughaibuni watumie tu ila sisi mwendo huu ni wa bajeti tu na vitu vinaenda kwa mpangilio , sasa hivi hata 100 unaidai kwa ghadhabu kali.
kwa staili hio hampati mtu

Mbavu zangu mie.... tena kama kwenye daladala unataka kushuka afu konda anajifanya hana 100 weeeh hizo ghadhabu zake si za nchi hii mwenyewe anaitafuta ilipo.
 

Mbavu zangu mie.... tena kama kwenye daladala unataka kushuka afu konda anajifanya hana 100 weeeh hizo ghadhabu zake si za nchi hii mwenyewe anaitafuta ilipo.

kuna mmoja bahat nzuri nlikua nashuka mwisho wa haisi, kabaki na chench yang ya 100 eti hana chenchi na nlikua namuona na mia mia kibao,nlikua namkata jicho akaamua aje anipe tu
halaf siku hio.nlikua nmevurugwa kwaio nlikua nasubiri tu aanzishe
nimvurugue
 

kuna mmoja bahat nzuri nlikua nashuka mwisho wa haisi, kabaki na chench yang ya 100 eti hana chenchi na nlikua namuona na mia mia kibao,nlikua namkata jicho akaamua aje anipe tu
halaf siku hio.nlikua nmevurugwa kwaio nlikua nasubiri tu aanzishe
nimvurugue
Teh teh teh.... Makondakta kwa kujikausha tu na chenji za watu hawajambo sasa upande wewe na pesa pungufu weeee gari zima watajua.
 
Black seed oil,nigella sativa au habbat sauda ni dawa inatumika sehemu mbali mbali kusema ni kisunna siyo sahihi hiyo kwenye picha juu ni Brand ya Hemani inatoka Pakistan ndio common Bongo ukiangalia online UK inauzwa USD 15 kama TZS35,000 wakati Bongo ni 5,000 masoko ya Ulaya na US yako regulated sana kwa quality mfano simu mpya ya Samsung S8 inayouzwa TZ na US zina tofauti ndogo kwenye quality na bei etc lakini sio tatizo kama una wasi wasi na quality unaweza nunua mbegu zake kariakoo ukatwanga na kutumia as per recommended dosage, Kuna nyingine inatoka Somalia ni bei zaidi ya hiyo ya Pakistan lakini packaging yake ni local sana labda uwe mzoefu kuchunguza test kama haijachakachuliwa
 
Back
Top Bottom