FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Acha kututishaShauri zenu, tutaanguka!!View attachment 1140813
Acha kututishaShauri zenu, tutaanguka!!View attachment 1140813
Sijaropoka nimeongea nikiwa na uhakika na mifano ninayo kwani unadhani mimi sina ndugu au jamaa au marafiki au majirani ambao wameoa wake wanne? Ninao sana na baadhi yao wanachepuka vizuri tuMbona unaongea usivovijua..nani ana wake wanne na anachepuka!?..au mradi nadharia zako zitimie
Muoe halafu muache.mi nadhani usiempenda ukimuoa atachokufanya Hutotamani hata kuja fungua Thread
mkuu mahari yangu vipi na gharama za harusi? vinaumaaaMuoe halafu muache.
Funga ndoa ya kisasa achana na zile za kualika mtaa mzima.mkuu mahari yangu vipi na gharama za harusi? vinaumaaa
ila mahari haikwepeki mkuu...wachaga wanavyojua kukomeshaFunga ndoa ya kisasa achana na zile za kualika mtaa mzima.
Hahhahaha nadra sana... Story za kafia ghero
Tutaanguka, shauri zenu.
Sijakjelewa mkuu,dadavua kidgDawa ya mwanamke husiyempenda ni kumuoa.
Ha ha ha ,imenikuta nilikua kweny relation alaf naona kam nipo na mshkj wangu kabisa ,aya mambo basi tu nikaona bora niwe certified single kabisaUnaweza ukaoa na bado ukawa mpweke,,be carefull
Hawa wangese wanaoleta sijui haki sawa wameharibu saanUkiona ndoa imedumu anzia miaka mi 5 kwenda mbele ujue kuna bwege mmoja ndani ya hiyo ndoa...YES nasema bwege kwasababu hata akikosewa yeye atakubali kujishusha na kuomba msamaha yeye.
Ndoa itadumu kama TU kuna ataekubali mwenzake awe JUU yake siku zote na muda wote ila sisi tunaotaka EQUALITY ndo zkijitahid sana ni miaka 3.
OA halafu ukutane na yule mwanamke wa kutaka USAWA yani hataki umuoneee anataka haki bin haki Lazima urudi hapa uanzishe thread kutushauri ambao hatujaoa TUSIOE.
Plain liar...una hila sana wewe mwanamkeSijaropoka nimeongea nikiwa na uhakika na mifano ninayo kwani unadhani mimi sina ndugu au jamaa au marafiki au majirani ambao wameoa wake wanne? Ninao sana na baadhi yao wanachepuka vizuri tu
Pesa si zinatafutwa mkuuila mahari haikwepeki mkuu...wachaga wanavyojua kukomesha
Mkuu mim naweza na Nina mifano mingi saan nimefanya sema nikijielezea San ntakua kama najipamba ila tupoSema hivi mwanamke akiwa bwege ndo ndoa inadumu kuna mwanaume anakubali kuwa bwege kwenye ndoa kweli?
nlimwambia mimiMkuu mim naweza na Nina mifano mingi saan nimefanya sema nikijielezea San ntakua kama najipamba ila tupo
Kama mwanamke haumpendi muoe kisha muache.Sijakjelewa mkuu,dadavua kidg
Ujue uku kukariri kuwa wanaume wote mbwa au ng'ombe ndo inawacost Sannlimwambia mimi
Dadeki apo si umemkomoa na wew umejikomoa mkuuKama mwanamke haumpendi muoe kisha muache.