DAWA YA UPWEKE NI NDOA

DAWA YA UPWEKE NI NDOA

Plain liar...una hila sana wewe mwanamke
Nimeshakwambia usipoamini wewe haimaanishi kwamba hilo jambo halipo imani yako haibadilishi ukweli kwani ukweli utabaki pale pale uukubali uukatae hivyo basi sikulazimishi uamimi you can take it or leave it but the truth shall always prevail
 
Basi hongera kubwa mkuu
Mimi kiukwel mwanamke akiwa mjinga(si kwa ubaya ila ni kwa kunipa heshima) kwangu basi namlipa fadhira kubwa saan ila hizi fadhira na huruma yangu ndo zinaniponza kichizi,mpk nawaza bora ningekua na moyo mgumu ila ndo siwez
 
Kila la heri na harakati zako za usawa
Huo mnaouita usawa ndivyo Mungu alivyoagiza mbona maandiko yapo wazi? Hautaki basi jichimbie kaburi ujizike maana tunajua kwa wanaume mnaopenda umalaya na ubabe kwenu ni ngumu kuumeza huo ukweli mchungu
 
Mimi kiukwel mwanamke akiwa mjinga(si kwa ubaya ila ni kwa kunipa heshima) kwangu basi namlipa fadhira kubwa saan ila hizi fadhira na huruma yangu ndo zinaniponza kichizi,mpk nawaza bora ningekua na moyo mgumu ila ndo siwez
Pole mkuu wanawake wababe na wajeuri pia wapo omba tu Mungu akupe mke mwema
 
Pole mkuu wanawake wababe na wajeuri pia wapo omba tu Mungu akupe mke mwema
Yap ilo ndo LA msingi na vivo ivo na wanaume wapuuzi na wema wote wapo so nikumuomba mungu akuchagulie mfungwa mwema mtakaoendana uko gerezan mtakopigwa pingu zenu
 
Huo mnaouita usawa ndivyo Mungu alivyoagiza mbona maandiko yapo wazi? Hautaki basi jichimbie kaburi ujizike maana tunajua kwa wanaume mnaopenda umalaya na ubabe kwenu ni ngumu kuumeza huo ukweli mchungu
Si nmekuaga dada...hasira zako peleka kwa aliyekutenda
 
Ingekuwa siyo sifa ungemshauri aoe kwa lengo la kuacha?

Jaribu kufuatilia tangu tulipoanzia ili upate picha kamili ya nilichokiandika.

Naamini ukifanya hivyo ilo wazo la kuacha ni sifa litayeyuka.
 
Yap ilo ndo LA msingi na vivo ivo na wanaume wapuuzi na wema wote wapo so nikumuomba mungu akuchagulie mfungwa mwema mtakaoendana uko gerezan mtakopigwa pingu zenu
Amina kubwa sana mkuu
 
Back
Top Bottom