DAWA YA UPWEKE NI NDOA

DAWA YA UPWEKE NI NDOA

nakunywa maziwa na nakula nyama kila siku nifuge ili iweje sometimes comrade unayumba na wewe

uoni haya makunguru box yanalilia huko ndoani yamejifunga yenyewe yanatamani kuwa kama sisi asilimia 70 wengi hawana furaha
 
Lakini kumbuka maandiko yamesema mwanaume atakula kwa jasho lake? Haya sawa haina shida inawezekana kabisa mwanamke akafanya hayo majukumu yote lakini je mwanaume una uhakika kwamba kweli unastahili kufanyiwa yote hayo na mkeo yaani kwamba haumsaliti wala haumnyanyasi?
Wanaume wanao saliti na kunyanyasa wake zao hawajitambui na hawajielewi and vise versa
Bora umuacha mke au Mume kuliko kusaliti na kumnyanyasa
 
Wanaume wanao saliti na kunyanyasa wake zao hawajitambui na hawajielewi and vise versa
Bora umuacha mke au Mume kuliko kusaliti na kumnyanyasa
Mmhh sasa mbona kama unawaongelea wanaume wote? Maana wanaume mnasemaga wenyewe kuwa hakuna mwanamke asiyechepuka
 
Wanaume wanao saliti na kunyanyasa wake zao hawajitambui na hawajielewi and vise versa
Bora umuacha mke au Mume kuliko kusaliti na kumnyanyasa
Mmhh sasa mbona kama unawaongelea wanaume wote? Maana wanaume mnasemaga wenyewe kuwa hakuna mwanamke asiyechepuka
Nimemaanisha mnasemaga kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka
 
Mmhh sasa mbona kama unawaongelea wanaume wote? Maana wanaume mnasemaga wenyewe kuwa hakuna mwanamke asiyechepuka
Hata usiwa amini hao wanaosema hivyo .wanaume tumetifsutiana kama nyie wanawake mlivyo tofauti ..sio wote wako interested na kuchepuka .trust me
 
Nimemaanisha mnasemaga kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka
Kuchepuka ni tamaa za mtu tu .hata wanawake wanachepuka sana sema huwa semi hadharani..alafu wanavyosema mwanaume lazima achepuke hizo ni story tu za jf usiziamini sababu unaweza ukakutatana na mwanaume anaekupenda kweli akajilinda asichepuke alafu wewe uka mdharau kwa sababu ya uaminifu wake .kwa sababu ulisoma kauli za jf kuwa lazima mwanaume achepuke
 
Hata usiwa amini hao wanaosema hivyo .wanaume tumetifsutiana kama nyie wanawake mlivyo tofauti ..sio wote wako interested na kuchepuka .trust me
Ni kweli ila ni wachache sana kama huyu niliyenaye
 
Kuchepuka ni tamaa za mtu tu .hata wanawake wanachepuka sana sema huwa semi hadharani..alafu wanavyosema mwanaume lazima achepuke hizo ni story tu za jf usiziamini sababu unaweza ukakutatana na mwanaume anaekupenda kweli akajilinda asichepuke alafu wewe uka mdharau kwa sababu ya uaminifu wake .kwa sababu ulisoma kauli za jf kuwa lazima mwanaume achepuke
Ndiyo na hizo kauli ndo zinawaponza wanaume wengi wanakuja kujitutumua humu kuwa wanaume wote wanachepuka na wanataka wanawake wote tuamini hivyo sasa wanawake tukiamini kweli na tukiingia na mawazo hayo kuwa kila mwanaume anachepuka halafu tusipowaamini kwenye mahusiano mnasema hatupendeki
 
It's comrade, a.k.a The man himself! A.k.a Mfalme wa Nyika, Namba 9 mgongoni mshambuliaji hatari.

Ni kwa Mara nyingne teeena mbele ya upeo wa mboni yako, ninarindima hapa jamviniii


Anaandika KIPEPE....
******-
Aseeee nipo kitandani hapa mida hiii nawaza umri unasonga natamani namimi nipate mke aseee

Mtanda wote huuu sita kwa sita najibilingilisha tuu mithili ya panya aliekunywa sumuuuu, ungekuta midaa hiii nipo na mke halali hapa tunayajenga yetu ya familia..

Duuuuh asee tuoeni vijana tuache uzinzi yani Mimi nikipata wife material naoaaaaa, kama una unaempenda oaneni tuu msisubirie sana halalisheni ndoa na Mungu awabariki sanaaaa


Ohhoooo
Ndiio mwisho hapooo

Fyaaaaa kama Bomu la nyukliaaa yuleeeeeeee
kipepe acha zako, leo porini hujapata windo nn mbona povu sana ? alafu comrade kipepe hana kitanda analala nyikani.
 
Hongera kwa kumpata huyo wako mwaminifu

Lakini usije kuchepuka(jokes)
I can't, yaani kuliko nichepuke mimi bora hata achepuke yeye angalau inamake sense, sijasema afanye makusudi ila angalau kwa mwanaume inamake sense japo wanaume wengi wanachepuka kwa kujiendekeza tu
 
Back
Top Bottom