Dawa ya swali 'Namba yangu umeitoa wapi?'

Dawa ya swali 'Namba yangu umeitoa wapi?'

Kwa mwanamke anaejitambua atakujua tu kwamba unataka kumtapeli, na atakurudishia pesa yako yote.

Huyo utakaempata kwa hiyo njia hata ungempigia ukamwambia umekosea namba, ataingia mtegoni tu hata bila kujifanya umekosea namba ukamtumia elfu moja.

Ni kweli wanawake wanapenda watu wastaarabu na waungwana lakini hawapendi kufanywa mazuzu na kuonyeshwa ustaarabu feki.
 
Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo

Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu
RRONDO Hebu jaribu kwangu tuone kama itafanya kazi😉😉
 
Kwa mwanamke anaejitambua atakujua tu kwamba unataka kumtapeli, na atakurudishia pesa yako yote.

Huyo utakaempata kwa hiyo njia hata ungempigia ukamwambia umekosea namba, ataingia mtegoni tu hata bila kujifanya umekosea namba ukamtumia elfu moja.

Ni kweli wanawake wanapenda watu wastaarabu na waungwana lakini hawapendi kufanywa mazuzu na kunyeshwa ustasrabu feki.
Akili yako iko Kwa wanawake wote
 
Usitu generalize. Unatakiwa uspecify hii njia wana tumia akina nani na kina nani hawapaswi kutumia maana kuna hatari ya watu kujaza pipa la Lita 150 machozi. Tunaona sana wana wanatuma nauli na hawaonekani ni gentlemen inakuwa imetoka; Leo u risk 200k, Hapana!

Mimi nakumbuka kuna broad aliwahi kuniuliza nimetoa wapi namba yake, and I said, "Vodacom wamenipa kama zawadi kwa sababu natumia sana huduma zao". She laughed na kilichofuata ni history.!

Muda mwingine sio hela. Hela inamfanya acheke/afurahi. If you can make her happy, your chances of getting her are alive than the number of people who have died.
Mind you: Ukianzisha mahusiano kwa hela bai basi pattern isibadilike. Ikibadilika tu, You lose her.
Mwanamke na pesa ni kama paka na samaki. Ila wala sikushangai leo wengi mtasema pesa sio issue ila ukweli uko wazi
 
200,000 ya Zimbabwe au hii hii pesa halali kwa malipo ya Tanzania????
 
Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo

Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu
Bandiko hili ni uthibitisho tosha kwamba zinaa huleta umaskini.

Unamtumia mtu laki 2 kwa umaarufu gani? Hicho kikojolea tu?
 
Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo

Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu
Namba yangu unayo ila mbona hukosei ndugu yangu?
Fanya kukosea hata laki tu
 
Back
Top Bottom