Dawa ya swali 'Namba yangu umeitoa wapi?'

Mkuu unachoma ramani ya vita, mbinu kama hizi au zile za kutuma maua ofisini sio za kuziweka wazi hivi...
 

Aiseee
 
Hahahaa.!!
Hapa naamini unazungumza na wale ndugu zake Kiduku, maana huyo mtanzania wa huku duniani hizo laki mbili ambazo ndo mshahara wake anaanzaje kuzichezea hivyo mkuu??
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] huo ni mfano tuuu... Waweza tuma hata 1000 ukamwambia akurudishie 500 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa Baba Taibali

Natumai bado lipo, ukipata jibu utanijuza....

Laaah tubatize ile mishkaki ya PC.B kuwa kwa ndo kwa Baba Taibali....

Mabungo tutachukua uhindini Kisutu.
 
Safi kaka
 
Anapigaje Block?
 
Seems a lot of work...mambo ya kupata namba via middleman niliacha nilipokua 2nd yr...

If i want her # ,i ask her..period.
 
Seems a lot of work...mambo ya kupata namba via middleman niliacha nilipokua 2nd yr...

If i want her # ,i ask her..period.
Wenzio wakati tuko 2nd year hata simu hazikuwepo na hatukushindwa kupata wanawake.
 
Hahahahha.. "Invest what you can afford to lose" umenikumbushaa vingi sana bro!

Ngoja hata huu ushauri niwaachie ma risk takers.
 
Waswahili wanasema penye udhia penyeza rupia. Kwa watu ambao hatuna muda wa kujibu maswali tunatanguliza muamala ili kuepuka usumbufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…