mbona heading inasema ''Dawa ya mwanamke anayeng'ang'ania kutaka kuonja penzi la mkeo?'' inaamaanisha mwanamke anataka kumuonja mke wako (yaani mwanamke mwenzie) na wewe (mume) unaomba ushauri, au sisi sote hapa hatujui kiswahiliipo sawa,penzi la mkeo ni kwamba mwanamke anang'ang'ania kuonja penzi la mume wake.
so na haka kaserengeti boy kanakonisumbua nikasemee kwa hubby.............wamalizane kiume...!!!Dawa mwambie mkeo, (Ya wanawake waachie wenyewe wamalizane utajiumiza kichwa bure)
ok let me change it DAWA YA MWANAMKE ANAYENG'ANG'ANIA KUTAKA KUONJA PENZI LA MUMEO?