tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Nimesikia leo katika uchambuzi wa magazeti.. Jeshi linadai limepata dawa ya migomo, nayo ni kupita JKT kabla ya kuingia elimu ya juu. Maswali 1. Hivi hawa wamefanya utafiti na kugundua tatizo la msingi? 2. Hili suala haliwezi kuleta vurugu zaidi huko tuendako?