Kuna ugumu gani Serikali kuanzisha vyuo vikuu vya maswala ya dawa za asili?

gogo jr

Member
Oct 2, 2018
14
14
Hivi jamani kuna ugumu gani Serikali kuanzisha vyuo vikuu vya maswala ya dawa za asili?

Nilidhani pale Muhimbili wanatoa kozi kumbe ni wizi mtupu hakuna cha maana Serikali ilitizame hili swala kwa weledi mzuri kuna magonjwa mengi yanatibiwa na miti shamba, magonjwa ambayo hosptali yanapigwa tantalila.

Mfano figo miti inatibu vizuri kabisa hivyo kuna haja ya mamlaka kuanzisha vyuo watu wangeongezewa maarifa na ujuzi wa kutumia miti nadhani hili lingesaidia sana.
 
Ni wazo zuri, kinachotakiwa kufanyika ni kwa wenye mitaji kuanzisha vyuo hivyo na kuwasilisha mitaala kwa taasisi za serikali, zikipitishwa mafunzo yaanze.
 
Mfano figo miti inatibu vizuri kabisa hivyo kuna haja ya mamlaka kuanzisha vyuo watu wangeongezewa maarifa na ujuzi wa kutumia miti nadhani hili lingesaidia sana.
Wanaona hizo tiba zinahatarisha ajira na biashara za mataifa rafiki
 
Hivi jamani kuna ugumu gani Serikali kuanzisha vyuo vikuu vya maswala ya dawa za asili?

Nilidhani pale Muhimbili wanatoa kozi kumbe ni wizi mtupu hakuna cha maana Serikali ilitizame hili swala kwa weledi mzuri kuna magonjwa mengi yanatibiwa na miti shamba, magonjwa ambayo hosptali yanapigwa tantalila.

Mfano figo miti inatibu vizuri kabisa hivyo kuna haja ya mamlaka kuanzisha vyuo watu wangeongezewa maarifa na ujuzi wa kutumia miti nadhani hili lingesaidia sana.
Kuna watu hapa watakuambia huo ni uchawi na ushirikina...pasi na kujiuliza kabla ya madawa ya kisasa Babu zetu walitumia nini kama si miti shamba. Naunga mkono hoja yako
 
Hivi jamani kuna ugumu gani Serikali kuanzisha vyuo vikuu vya maswala ya dawa za asili?

Nilidhani pale Muhimbili wanatoa kozi kumbe ni wizi mtupu hakuna cha maana Serikali ilitizame hili swala kwa weledi mzuri kuna magonjwa mengi yanatibiwa na miti shamba, magonjwa ambayo hosptali yanapigwa tantalila.

Mfano figo miti inatibu vizuri kabisa hivyo kuna haja ya mamlaka kuanzisha vyuo watu wangeongezewa maarifa na ujuzi wa kutumia miti nadhani hili lingesaidia sana.
Samia kaiua NIMR aliikuta ishaanza kutengewa fedha kwaajili ya utafiti wa tiba asili baada ya kunyesha jitihada katika issue ya Corona.
 
Huko mbali sana, njia bora ni kufadhili utafiti wa madawa ya asili katika vyuo vyetu vya tiba kama MUHAS.
 
Tanzania hatuna wataalamu wa aina yoyote. Sasa kwenye dawa ndiyo tusiguse kabisa. Tutaua watu.

Unakumbuka uji ule ukitengeneza na NMRI eti wakadai unatibu korona? Ilikuwa ni kichekesho.
 
Back
Top Bottom