Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,690
- 26,567
Sidhani kama watakuwa na uwezo wa kujibu maswali au kufafanua sababu ya kuanza kumuanika sasa.
Hatimaye chama tawala,CCM,kimepata dawa ya kumdhibiti mgombea wa Urais kupitia CHADEMA/UKAWA,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa. Dawa husika inatengenezwa na wapambanaji wa ufisadi hapa nchini ambao wameapa kumuanika Lowassa ili watanzania wamjue. Tayari mikakati ya mtu-kati imesukwa.
Katika timu hiyo, itakayoshiriki bega kwa bega katika kampeni za kumnadi Magufuli,wanatajwa Sitta,Mwakyembe,Ole Sendeka,Mwigulu Nchemba,Lusinde aka Kibajaji na Nape Nnauye. Pia wapo wanaKitengo.
Upepo wa Lowassa umeonekana kuvuma kwa kasi ukisomba na kupeperusha watu na vitu. Tishio linakaribia mwisho zitakapoanza kampeni. CCM iko vizuri,itamdhibiti hadi awe mahututi kisiasa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Your statement is not final and conclusiveVUTA-NKUVUTE
Watuwekee wazi kwanza waliochikua zile bilions za Escrow za stanbic ambapo kumekuwa na kigugumizi mpaka leo!
Pili wamsaidie magufuli kuelezea matumizi halali ya zile 252b ambazo alidanganya bunge na ukaguzi wa CAG wa january mwaka huu umegundua kuwa matumizi ya kiasi kikubwa cha hiyo hela hayaeleweki.
Tatuwatuelezee vizuri tuhuma za mgombea wao kuuzia nyumba ndugu zake waliokuwa wanafanya kazi tempo wizarani kwake! Na jewatarejeshanyumba za serikali ambazo walijiuzia kwa bei waliojipangia wenyewe! Na wawaeleze watanzania hasara iliyopatikana mpka sasa ya mawaziri kuishi hotelini kwa miaka mingi kisa hamna nyumba! Nasikia kuna waziri amekaa hoteli mpka bill ikafika 100m !
Kimsingi ccm wametosha acha wajaribu na wengine tuone jamani!
Kumbe chama kinajua majizi lakini hakiwashughulikii mpaka wahame. Mimi kura yangu nitampa yeye aliyeamua kuachana na kambi ya wanaolinda majizi na kujiunga na jeshi la wokovu.
kila mtu na imani yake kama unavyo sali magharibi na mimi nina mashariki hujalazimishwa lowassa ni msafi kabisa na ndiye rais ajae!!unanuka ufisadi na unakosa uzalendo etiii msaf,mtu hafla zote huchangia mamilion ya hela,ameikamata serikali anageuka mungu mtu na watu wanamsujudia kwa lipi hasa alilolifanya kubwa katika taifa hili?hv kwel makada wa ccm wakubali kuhama kumfuata EL bure bure tu hebu kasome tena
Hatimaye chama tawala,CCM,kimepata dawa ya kumdhibiti mgombea wa Urais kupitia CHADEMA/UKAWA,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa. Dawa husika inatengenezwa na wapambanaji wa ufisadi hapa nchini ambao wameapa kumuanika Lowassa ili watanzania wamjue. Tayari mikakati ya mtu-kati imesukwa.
Katika timu hiyo, itakayoshiriki bega kwa bega katika kampeni za kumnadi Magufuli,wanatajwa Sitta,Mwakyembe,Ole Sendeka,Mwigulu Nchemba,Lusinde aka Kibajaji na Nape Nnauye. Pia wapo wanaKitengo.
Upepo wa Lowassa umeonekana kuvuma kwa kasi ukisomba na kupeperusha watu na vitu. Tishio linakaribia mwisho zitakapoanza kampeni. CCM iko vizuri,itamdhibiti hadi awe mahututi kisiasa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
[/QUOTE
Ufisadi sio issue tena kwa Lowasa.kwa kadi ccm wanavyozidi kumzungumzia Lowasa actually wanamjenga zaidi ya kumbomoa. Shida ni kwamba Lowasa amekuwa nje ya serikali miaka 8 lakini bado kuna ufisadi mkubwa sana wa escrow.Kwa upande wangu naona issue ya ufisadi itaiumiza ccm zaidi kuliko Lowasa.unapozungumzia ufisadi wa Richmond ambao hakuna hata senti moja iliyoibiwa lakini ukasahau escrow ya mwaka jana iliyo fisadi 320 billion una matatizo.
Hatimaye chama tawala,CCM,kimepata dawa ya kumdhibiti mgombea wa Urais kupitia CHADEMA/UKAWA,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa. Dawa husika inatengenezwa na wapambanaji wa ufisadi hapa nchini ambao wameapa kumuanika Lowassa ili watanzania wamjue. Tayari mikakati ya mtu-kati imesukwa.
Katika timu hiyo, itakayoshiriki bega kwa bega katika kampeni za kumnadi Magufuli,wanatajwa Sitta,Mwakyembe,Ole Sendeka,Mwigulu Nchemba,Lusinde aka Kibajaji na Nape Nnauye. Pia wapo wanaKitengo.
Upepo wa Lowassa umeonekana kuvuma kwa kasi ukisomba na kupeperusha watu na vitu. Tishio linakaribia mwisho zitakapoanza kampeni. CCM iko vizuri,itamdhibiti hadi awe mahututi kisiasa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam