Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,535
- 20,708
Tena CCM wanapotea mbayaaa
Nape haaminiki,.muongo sana
Mwakyembe hana trust ya watu tena baada ya mabehewa feki...billions ziliibiwa...
Sitta, kachakachua KATIBA MPYA..
Nchemba ndio kakamatwa na TAKUKURA KWA RUSHWA YA UBUNGE TU...
CCM hakuna mtu wa kumpigia Magufuli kampeni...Wananchi wako macho sana, hawadanganyiki tena...
UKAWA, Lowassa ni habari nyingine...!!!
Nape haaminiki,.muongo sana
Mwakyembe hana trust ya watu tena baada ya mabehewa feki...billions ziliibiwa...
Sitta, kachakachua KATIBA MPYA..
Nchemba ndio kakamatwa na TAKUKURA KWA RUSHWA YA UBUNGE TU...
CCM hakuna mtu wa kumpigia Magufuli kampeni...Wananchi wako macho sana, hawadanganyiki tena...
UKAWA, Lowassa ni habari nyingine...!!!