Dawa ya kutibu UKIMWI

Dawa ya kutibu UKIMWI

Na watu hawajali. Ila mi nashangaaga sana nikisikia mtu anafanya ngono nzembe karne hii, tena sasahivi ndo magonjwa ya ngono yamezidi kwa tabia ya watu kujipima HIV basi majibu yakija negative wanapiga kavu. Wakati kama mtu kapata HIV karibuni kile kipimo hakioneshi. Hapo bado kuna Gono,na kuna Mzee wa kazi anaitwa Syphilis ukiumwa hadi uso na mikono vinatangaza ugonjwa wako na matibabu yake ni mateso. Ila watu hawajali wala hawaogopi.
Ngoja tuone mwisho wake.

Kuna mtu niliwahi tamani lala naye, akaniambia yeye haamini kwenye kutumia kinga, anapendelea kupata huduma ya rapid Hiv test.
 
VIrus wako trick sana.

HIV zinajificha ndani ya seli za binadamu.
Mpaka watengeneze dawa ambayo itaweza kuingia ndani ya seli ya binadamu, kuua virus, bila kuua seli ya binadamu.
Na kibaya zaidi seli hizi ambazo viruses wanajificha ni seli kinga ambazo zinatuza kumbukumbu ya magonjwa ambayo yamewahi kuushambulia mwili.
UKikosea hiyo dawa ikaua seli hizi maana yake yale magonjwa ambayo yamewahi kuushambulia mwili yatarudi tena na kuushambulia.
Mkuu Mimi Ni daktari tena Bingwa Ila nitaomba kudiffer Na wewe kwa Hii Mindset kabisa..

Swali aliloleta Mtoa Mada liliwahi kuniwazisha sana kipindi nasoma Virology na Majibu Ya Research yangu nilibakia nayo Akilini...

Ukimwi Ulikuwa huenda ni Genetic Engeneering ya kutawala mwili ni kutkkana na Structure ya Virus na hata kazi zake na kutokana na Kirusi chenyewe pia ambacho kiko tofauti na Virusi Vingine kabisa...

Meehn Kama Utasoma HIV kirusi chake utagundua Thats a designed Biological Architect haiwezi kuwa naturally...

Eniwei Stay Safe Ndugu zanguni..
Dunia ina Vitu hatari zaidi ya Tunavyofikiria Nimeviishi, Nimeviona Na Mikono na Midomo Imefungwa Kuvizungumzia ila stay safe..

CC: min -me
 
Mkuu Mimi Ni daktari tena Bingwa Ila nitaomba kudiffer Na wewe kwa Hii Mindset kabisa..

Swali aliloleta Mtoa Mada liliwahi kuniwazisha sana kipindi nasoma Virology na Majibu Ya Research yangu nilibakia nayo Akilini...

Ukimwi Ulikuwa huenda ni Genetic Engeneering ya kutawala mwili ni kutkkana na Structure ya Virus na hata kazi zake na kutokana na Kirusi chenyewe pia ambacho kiko tofauti na Virusi Vingine kabisa...

Meehn Kama Utasoma HIV kirusi chake utagundua Thats a designed Biological Architect haiwezi kuwa naturally...

Eniwei Stay Safe Ndugu zanguni..
Dunia ina Vitu hatari zaidi ya Tunavyofikiria Nimeviishi, Nimeviona Na Mikono na Midomo Imefungwa Kuvizungumzia ila stay safe..

CC: min -me
The agenda of population increase control is real.
 
Kinachoua haraka baada ya kuwa + (=)

1. Kelele za wanao wa karibu/jamaa zako..."mara ooo kawaka, mara ooo amekondeana, mara ooo anaua watu..yaani full of pressure.

2. Saikolojia

3. Umasikini
 
Ngoja tuone mwisho wake.

Kuna mtu niliwahi tamani lala naye, akaniambia yeye haamini kwenye kutumia kinga, anapendelea kupata huduma ya rapid Hiv test.
Rapid maana yake kama kaambukizwa jana, juzi, wiki iliyopita, kipimo kitaonesha negative kwahiyo atakuambukiza. Hapo ni HIV peke yake,vipi kuhusu Gonorrhea mtapima rapid test? , Syphilis je? Trichomoniasis pia mtapima? Na kuna yale madude Kiswahili sijui ndo wanaita mafundofundo yanaletwa na Human Papilloma Virus kipimo chake unacho? Hapo sijaongelea Candida au kwa Kiswahili fangasi, una kipimo pia? Watu huwa hawajali halafu wakiumwa badala wakapate matibabu wanaenda kunywa Azuma, uzuri Azuma siku hizi wadudu wamekuwa sugu , ukinywa ni kazi bure tu, maumivu yanazidi basi unaenda kwa daktari kuvua nguo maana huna jinsi yamekufika shingoni.
 
Mkuu Mimi Ni daktari tena Bingwa Ila nitaomba kudiffer Na wewe kwa Hii Mindset kabisa..

Swali aliloleta Mtoa Mada liliwahi kuniwazisha sana kipindi nasoma Virology na Majibu Ya Research yangu nilibakia nayo Akilini...

Ukimwi Ulikuwa huenda ni Genetic Engeneering ya kutawala mwili ni kutkkana na Structure ya Virus na hata kazi zake na kutokana na Kirusi chenyewe pia ambacho kiko tofauti na Virusi Vingine kabisa...

Meehn Kama Utasoma HIV kirusi chake utagundua Thats a designed Biological Architect haiwezi kuwa naturally...

Eniwei Stay Safe Ndugu zanguni..
Dunia ina Vitu hatari zaidi ya Tunavyofikiria Nimeviishi, Nimeviona Na Mikono na Midomo Imefungwa Kuvizungumzia ila stay safe..

CC: min -me
Kwahyo mkuu hizi ni project za watu?
Na Dawa huenda zipo?
 
Back
Top Bottom