AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 12,213
- 20,462
Nimekaa hapo kati hapo utashikwa shatiNi ngumu sana kutibu kitu kiachojibadilisha shape Kila baada ya mda mfupi.
Dawa pekee ya HIV /AIDS ni kumuuq mgonjwa.
Biology 101
Nimekaa hapo kati hapo utashikwa shatiNi ngumu sana kutibu kitu kiachojibadilisha shape Kila baada ya mda mfupi.
Dawa pekee ya HIV /AIDS ni kumuuq mgonjwa.
Biology 101
Mkuu aliishi wapi? I know he's from houndurus. Ila aligain popularity marekani.Dr Sebi wasnt an american
Ngoja tuone mwisho wake.Na watu hawajali. Ila mi nashangaaga sana nikisikia mtu anafanya ngono nzembe karne hii, tena sasahivi ndo magonjwa ya ngono yamezidi kwa tabia ya watu kujipima HIV basi majibu yakija negative wanapiga kavu. Wakati kama mtu kapata HIV karibuni kile kipimo hakioneshi. Hapo bado kuna Gono,na kuna Mzee wa kazi anaitwa Syphilis ukiumwa hadi uso na mikono vinatangaza ugonjwa wako na matibabu yake ni mateso. Ila watu hawajali wala hawaogopi.
Mkuu Mimi Ni daktari tena Bingwa Ila nitaomba kudiffer Na wewe kwa Hii Mindset kabisa..VIrus wako trick sana.
HIV zinajificha ndani ya seli za binadamu.
Mpaka watengeneze dawa ambayo itaweza kuingia ndani ya seli ya binadamu, kuua virus, bila kuua seli ya binadamu.
Na kibaya zaidi seli hizi ambazo viruses wanajificha ni seli kinga ambazo zinatuza kumbukumbu ya magonjwa ambayo yamewahi kuushambulia mwili.
UKikosea hiyo dawa ikaua seli hizi maana yake yale magonjwa ambayo yamewahi kuushambulia mwili yatarudi tena na kuushambulia.
The agenda of population increase control is real.Mkuu Mimi Ni daktari tena Bingwa Ila nitaomba kudiffer Na wewe kwa Hii Mindset kabisa..
Swali aliloleta Mtoa Mada liliwahi kuniwazisha sana kipindi nasoma Virology na Majibu Ya Research yangu nilibakia nayo Akilini...
Ukimwi Ulikuwa huenda ni Genetic Engeneering ya kutawala mwili ni kutkkana na Structure ya Virus na hata kazi zake na kutokana na Kirusi chenyewe pia ambacho kiko tofauti na Virusi Vingine kabisa...
Meehn Kama Utasoma HIV kirusi chake utagundua Thats a designed Biological Architect haiwezi kuwa naturally...
Eniwei Stay Safe Ndugu zanguni..
Dunia ina Vitu hatari zaidi ya Tunavyofikiria Nimeviishi, Nimeviona Na Mikono na Midomo Imefungwa Kuvizungumzia ila stay safe..
CC: min -me
Kuna wengine wanachelewa kuripoti kituoni hivyo kuachwa na treni bwashee.Wala usitumie nguvu, Sababu kama zile zile zilizosababisha tukio la SGR kuonekana kwenye mfumo ipo Full ila ukiingia siti zipo empty ndo zinapelekea dawa isipatikane na kama ipo usiletewe. Biashara za watu.
Hao ni wachache kama wanaopasukiwa na mpira mkuu.Kuna wengine wanachelewa kuripoti kituoni hivyo kuachwa na treni bwashee.
Sio inasemekana bali ni kweli na kuna watu humu jf wanaijua, ipo na ishaponya watu mm shahidi.Inasemekana
This was not the origin agenda namaanisha haikuwa the sources ya kugundulika hicho kitu ila baada ya kufeli kwa jaribio la kutengeneza Tamanio lao So..The agenda of population increase control is real.
I wish you would have given us a hint of what their original agenda was.This was not the origin agenda namaanisha haikuwa the sources ya kugundulika hicho kitu ila baada ya kufeli kwa jaribio la kutengeneza Tamanio lao So..
Ikaonekana Kumbe hata failed results Inaweza kutumika kwa manufaa
Hivi kati ya kupasuka kwa mpira na mpira kuchomokq kisha kunasia ndani ya mbususu, kipi hatari?Hao ni wachache kama wanaopasukiwa na mpira mkuu.
Rapid maana yake kama kaambukizwa jana, juzi, wiki iliyopita, kipimo kitaonesha negative kwahiyo atakuambukiza. Hapo ni HIV peke yake,vipi kuhusu Gonorrhea mtapima rapid test? , Syphilis je? Trichomoniasis pia mtapima? Na kuna yale madude Kiswahili sijui ndo wanaita mafundofundo yanaletwa na Human Papilloma Virus kipimo chake unacho? Hapo sijaongelea Candida au kwa Kiswahili fangasi, una kipimo pia? Watu huwa hawajali halafu wakiumwa badala wakapate matibabu wanaenda kunywa Azuma, uzuri Azuma siku hizi wadudu wamekuwa sugu , ukinywa ni kazi bure tu, maumivu yanazidi basi unaenda kwa daktari kuvua nguo maana huna jinsi yamekufika shingoni.Ngoja tuone mwisho wake.
Kuna mtu niliwahi tamani lala naye, akaniambia yeye haamini kwenye kutumia kinga, anapendelea kupata huduma ya rapid Hiv test.
Kwahyo mkuu hizi ni project za watu?Mkuu Mimi Ni daktari tena Bingwa Ila nitaomba kudiffer Na wewe kwa Hii Mindset kabisa..
Swali aliloleta Mtoa Mada liliwahi kuniwazisha sana kipindi nasoma Virology na Majibu Ya Research yangu nilibakia nayo Akilini...
Ukimwi Ulikuwa huenda ni Genetic Engeneering ya kutawala mwili ni kutkkana na Structure ya Virus na hata kazi zake na kutokana na Kirusi chenyewe pia ambacho kiko tofauti na Virusi Vingine kabisa...
Meehn Kama Utasoma HIV kirusi chake utagundua Thats a designed Biological Architect haiwezi kuwa naturally...
Eniwei Stay Safe Ndugu zanguni..
Dunia ina Vitu hatari zaidi ya Tunavyofikiria Nimeviishi, Nimeviona Na Mikono na Midomo Imefungwa Kuvizungumzia ila stay safe..
CC: min -me
Dawa ya UKIMWI ni kutopima kwa tafiti zangu binafsi ila ukishapima utaanza kufa mapema kwa mambo ya kisaikolojia tu, na sio ukimwi wenyewe
tupe hints kidogoSio inasemekana bali ni kweli na kuna watu humu jf wanaijua, ipo na ishaponya watu mm shahidi.
Duh, naona kama yote yanakuexpose tu na magonjwa.Hivi kati ya kupasuka kwa mpira na mpira kuchomokq kisha kunasia ndani ya mbususu, kipi hatari?