tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Wadau naomba mnifahamishe kama kuna dawa ya kuzuia ndevu kuota au kufanya zichelewe kuota.
Unataka kuyakataa maumbile yako?Wadau naomba mnifahamishe kama kuna dawa ya kuzuia ndevu kuota au kufanya zichelewe kuota.
Unataka kuyakataa maumbile yako?
KweliZuia zisiote uone madhara yake, zitaota kuelekea kinywani.
stop breathing first
Paka super glue ndevu haipiti hapo
hahahaha! Ndevu nazo ni maumbile? Mavuzzzzz je?
Unataka kuyakataa maumbile yako?
hahahaha! Ndevu nazo ni maumbile? Mavuzzzzz je?
Tatizo jukwaa limegeuzwa kuwa la utani......watu wana matatizo ya kiafya na wanaomba msaada, badala ya kuwasaidia tunaanza masihara!Haaaahaaaaahaaahaaaha, yani ushauri mwingine humu ndani kama nguvu za giza.