Dawa ya kuondoa/kupunguza ndevu

Dawa ya kuondoa/kupunguza ndevu

poleni na majukumu wapendwa ninaswali lkn linavipengele vitatu.a.je kunadawa inayozuia ndevu zisiwe zinaota?.b.Na kama ipo dawa hiyo inaitwaje? c.Na ukiitumia inachukua mda gani kwa ndevu kuota tena?
 
we kwa nn hutaki ndevu? tukikutajia ,dawa ya kuzuia baadae utakuja tena huku walilia ndevu na ww ....Mi nakushauri ziache 2
 
we kwa nn hutaki ndevu? tukikutajia ,dawa ya kuzuia baadae utakuja tena huku walilia ndevu na ww ....Mi nakushauri ziache 2 Au zimekuwa mzigo kwako tuseme zinakuchosha wkt wa kutembea
 
Nijuavyo mimi hiyo dawa ipo, ila inasemekana ina madhara kwani hizo nywele zinakuwa ndani kwa ndani bila kutoka nje na baadae hutengeneza kitu kama uvimbe.
Mi naona usilazimishe mambo kama huzitaki, jitahidi kunyoa mara kwa mara.
 
Nijuavyo mimi hiyo dawa ipo, ila inasemekana ina madhara kwani hizo nywele zinakuwa ndani kwa ndani bila kutoka nje na baadae hutengeneza kitu kama uvimbe.
Mi naona usilazimishe mambo kama huzitaki, jitahidi kunyoa mara kwa mara.

ndevu nyingine mzinguo!' unanyoa saa6 mchana, saa12 jioni zimeshaanza kuota. Kungekua na dawa isiokua na madhara, hata mimi ningeshapaka siku nyingi.
 
ndevu nyingine mzinguo!' unanyoa saa6 mchana, saa12 jioni zimeshaanza kuota. Kungekua na dawa isiokua na madhara, hata mimi ningeshapaka siku nyingi.

hii mpya?
ila mindevu inasumbua kweli ukinyoa leo siku mbili nyingi hizo apo tena
 
Habari wakuu

Jamani naomba mwenye kujua dawa ya kuzuia ndevu kuota haraka kwa sababu mimi na miaka 24 lakini ndevu paka shingoni, naomba msaada anayeijua dawa angalau niwe nazitoa za shingoni zibaki kawaida tu.

Tena nikinyoa leo leo, baada ya siku 3 utafikiri sijanyoa wiki mbili

NB: Sio kwamba sihitaji ndevu ila nahitaji ziwe kawaida tu

Karibuni
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... Ukiweka dawa ndo utarajie kuota kwa kasi zaidi..ziache tu mkuu, hata Osama hakutaka kuzitoa ila zilishindikana kama hizo....ila pole sana
 
Fanya hivi, ukishanyoa paka pilipili saa hiyo hiyo
 
Hizo ndo nzuri sasa hasa siku ya sikukuu kabla ya kuchinjwa lazima unyonyolewe shingo kwanza km kuku
 
Back
Top Bottom