KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,154
- 5,680
uliwahi kumuona mmasai ana ndevu........? watafute wakupe maujuzi.Watu wengi wamekua wakisumbuliwa na hormonal imbalance ambazo hueleta ndevu na vinyweleo mwilini.
Je dawa ni nini kutibu hili tatizo au kuna madaktari wanaotibu haya matatizo na yakaisha kabisa???
Wadau naomba mnifahamishe kama kuna dawa ya kuzuia ndevu kuota au kufanya zichelewe kuota.
Nyoa zote isibaki ata moja afu jisafishe kwa maji ya moto then subir ukauke alafu paka mayai yaliyochanganywa na asali......hapo utazuia hahahWadau naomba mnifahamishe kama kuna dawa ya kuzuia ndevu kuota au kufanya zichelewe kuota.
Yakwel hii njia au utan tuNyoa zote isibaki ata moja afu jisafishe kwa maji ya moto then subir ukauke alafu paka mayai yaliyochanganywa na asali......hapo utazuia hahah