Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,259
Fergie mwenyewe kaifagilia Barca mana mziki wake aliuona..a
If you cant fight your enemy, join the force.
Fergie mwenyewe kaifagilia Barca mana mziki wake aliuona..a
<br /><font face="Comic Sans MS"><font size="4">A-aaaa. Sema divai</font></font>
<br />She's expecting twins ndo sababu kubwa!
<br />
<br />
Sigmaaaaa acha uchokozi bana
Wapwaz
Msaada wa kuondoa hangover! Jana baada ya kuona uchawi wa Genius Messi, nimejitunga kilaji na jamaa Mpaka asubuhi. Nipo Kama mgonjwa supu haipandi natamani kuendelea na unywaji. Dawa nifanyaje?
Umeona ee, ushagundua sasa siku ingine unawahi asubuhi unachukua samaki sato, anakatwa vipande vitatu, vitunguu vitatu, hoho moja, karrot moja, ndimu mbili au limao, ngogwe mbili na viazi viwili mafuta kizibo cha chupa ya kili water,ukiweka maji hapo kama lita moja na nusu mpaka kuiva kama dk 20 hv, weweeeeeeee!!!!!!!! pobe yote inakutoka baada ya hapo unapata bia zako mbili tu unarudi kwenye chatiKuna comments hapa nacheka sana! Maziwa ya na supu ya Samaki vimeniokoa
Mambo masa,nashangaa mzoefu wa kilaji wa long time kama wewe kusumbuliwa na hangover,kuna hatua kadhaa za kuchukua kuondokana na tatizo hili na itakuwa unaisikia kwa watu tu. 1.kula ushibe kabla ya kunywa, 2.pata glasi ya maziwa nusu saa kabla ya kuanza kunywa pombe hii hupunguza athari za pombe, 3.usichanganye vinywaji, 4.ukiwa unakunywa usisahau maji kila baada ya chupa 2, 5.ukimaliza kunywa kabla hujapumzika pata ndizi mbili mbivu na dawa ya kichwa, 6.kama ulikunywa kupita kiasi multivitamin/minerals pia husaidia(kabla ya kulala), 7.upate usingizi usiopungua masaa 6, 8.ukiamka kunywa maji ya uvuguvugu glass 2 na upate aidha supu au breakfast inayojumuisha angalau mayai 2.Wapwaz
Msaada wa kuondoa hangover! Jana baada ya kuona uchawi wa Genius Messi, nimejitunga kilaji na jamaa Mpaka asubuhi. Nipo Kama mgonjwa supu haipandi natamani kuendelea na unywaji. Dawa nifanyaje?
Wapwaz
Msaada wa kuondoa hangover! Jana baada ya kuona uchawi wa Genius Messi, nimejitunga kilaji na jamaa Mpaka asubuhi. Nipo Kama mgonjwa supu haipandi natamani kuendelea na unywaji. Dawa nifanyaje?
Wapwaz
Msaada wa kuondoa hangover! Jana baada ya kuona uchawi wa Genius Messi, nimejitunga kilaji na jamaa Mpaka asubuhi. Nipo Kama mgonjwa supu haipandi natamani kuendelea na unywaji. Dawa nifanyaje?
Mimi nasikitika kukupoteza mchungaji wa kondoo; itabidi kondoo tujichunge wenyewe
Umeona ee, ushagundua sasa siku ingine unawahi asubuhi unachukua samaki sato, anakatwa vipande vitatu, vitunguu vitatu, hoho moja, karrot moja, ndimu mbili au limao, ngogwe mbili na viazi viwili mafuta kizibo cha chupa ya kili water,ukiweka maji hapo kama lita moja na nusu mpaka kuiva kama dk 20 hv, weweeeeeeee!!!!!!!! pobe yote inakutoka baada ya hapo unapata bia zako mbili tu unarudi kwenye chati
Hahahahah lol! Pole sana usirudie siku nyngine kujitunga kilaji kiasi hicho hahahah lol!. Kuna supu ya utumbo wa mbuzi iliyotiwa limau nyingi na pilipili mbuzi (kama ni mtumiaji) kama una ubavu wa kuweza kupita huku karibu sana labda itakusaidia katika kurudia hali ya kawaida. Messi na wale BARCA kiboko jana nimewavulia kofia, sijui kwa nini katika mechi zao na Real Madrid waliamua kucheza mieleka na sio kandanda safi kama waliyotuonyesha jana.