MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 353
Hahahah ni bar yangu hii mazee!
aaa.. Wapi unabar wap wewe sema jana mliwekeana kreti moja moja ya bia kama man u au baka itashinda na umefanikiwa ndo umelewa hvyo pole sana kijana
Hahahah ni bar yangu hii mazee!
Mch hv unakunywaga pombe...im just thinking loud
<br />Mpenzi huwa ninabariki pombe!
Ndo matatizo ya kupenda tim mbovu!
Powered nunua ya blue...
ni PM matokeo... kila lakheri Rev.
<br />
<br />
Ooh hapo sawa maana umenistua kweli Mama Mchungaji kabadirika sana siku hizi mie simuelewi kabisa siumeona hata misa nahudhuria town tegeta tena mmmhhh
<br />
<br />
Ooh hapo sawa maana umenistua kweli Mama Mchungaji kabadirika sana siku hizi mie simuelewi kabisa siumeona hata misa nahudhuria town tegeta tena mmmhhh
She's expecting twins ndo sababu kubwa!
Wapwaz
Msaada wa kuondoa hangover! Jana baada ya kuona uchawi wa Genius Messi, nimejitunga kilaji na jamaa Mpaka asubuhi. Nipo Kama mgonjwa supu haipandi natamani kuendelea na unywaji. Dawa nifanyaje?
dah, pole sana sweetheart... messi alianza na mercy kisha akamalizia na mecrilessNilikuwa najiuliza mbona Reverend sijamuona kulee spoti kumbe ulikuwa chicha..bwana eeh Messi ni noma!..huwa nawaza kama ana gf nadhani anawaza f/ball muda wote hata kwenye maongezi🙂)
Pole kwa hangover..angalia movie ya 'the hangover II ' hiyo hangover yako itaisha...ha ha ha
dah, pole sana sweetheart... messi alianza na mercy kisha akamalizia na mecriless
Nilikua napita nakucheki unavyogugumia nikaamua sichangii.... KAMATA MWIZI ME'EN YA FERGIE JANA ILIPATA MKIMBIZAJI
Dawa ya hangover ni "cha asubuhi"
Mch hv unakunywaga pombe...im just thinking loud
Mpenzi huwa ninabariki pombe!
Dawa ya hangover ni "cha asubuhi"