Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

Ukiona unakunywa pombe halafu asubuhi unaamka umechoka basi wewe pombe hazikupendi.

Tabu yote hiyo ya nini ? sijui ule malimao mara mayai mabichi ....tabu tote hiyo ya nini si uache au punguza kunywa kwa afya tu.
 
Back
Top Bottom