Mimi na kampani yangu tuliweka Uji size ya sadolini moja tukafungua sanduku tukaumiminia ndani halafu tukalifunga tukalitingisha sanduku! Jiulize hizo nguo zilikuaje
Sisi ilikua tunauchukua mzinga alafu unachekechwa, sukari inajichanganya na blue band, madaftari yanajimix na mafuta yakujipaka, nguo zote zinakua rangi moja. Lazima aombe kuachia ukiranja mkuu. Chezea tranka ww!
Haaaaahaaaaahaaaa hapo mnakuwa mmemweza,ila sasa nahisi unoko ndo utazidi,maanake atafura ili kurevenge.we MOLE em njoo huku uone dawa ya kiranja mnoko.
Umenikumbusha sisi tulikuwa tunaanika pilau kwa jua (pilau halichachi), uporo wa ndizi na wali ulikuwa unaliwa hivyo hivyo bila kupaswa; ilmradi chai ni ya moto.
Umenikumbusha sisi tulikuwa tunaanika pilau kwa jua (pilau halichachi), uporo wa ndizi na wali ulikuwa unaliwa hivyo hivyo bila kupaswa; ilmradi chai ni ya moto.
Watu8 hii ilikuwa siyo kupasha sasa; nadhani ulikuwa unapikia darasa Zima!!! Maana hiyo SANDUKU kwa size yake kakiporo ka mtu mmoja lazima kaungulie tuuu