Dawa ya fungus za miguuni

Dawa ya fungus za miguuni

Tafuta dawa moja inaitwa Gentrisone ni nzuri na hutibu kwa haraka sana!
 
Habari doctor
Vijana wangu wawili hucheza sana kwenye maji, sasa wamepata fangasi za vidole vya miguu, zinawasha sana huyu mdogo anabaki kulia, naombeni msaada wenu, kwa dawa yeyote ile inayoweza tuliza maumivu na muwasho, Asanteni.
Tumia white field ointment
 
Na Mimi ninafangasi sehemu ya siri , kwenye korodani, Nimetumia Dawa nyingi kama vile gentrisone,sonaderm ,Vidonge kama vile flucan, predisoline, n k lakini hali bado, Ngozi inakuwa inatoka magamba magamba yaani kama nyoka anavyojitoaga magamba, Tatizo lina miezi minne sasa, Hospital nimetembea lakini bado.Mwenyewe Dawa anisaidie
 
Nasumbuliwa sana na fangasi za miguuni na mikononi kwa miaka mingi Huwavinatoea vipele vidogo vidogo kisha vinakauka vikisha kauka ngozi inatoka.

Sijawahi pima ila nimekuwa nikiwaona madokta nawaelezea wananiandikia dawa bila mafanikio na kunakipindi huwa zinapotea na zikishamili hufikia hatua mpaka sijisikii kutoa mkono mbele za watu

Hivo naomba kufahamishwa hili tatizo chanzo chake ni nini? na tiba yake ni ipi ? Kwakweli sina raha na hali hii
dc2038e2d3f215e81520a547fe2196aa.jpg
 
kubali kupima pia

unaweza sema ni fangasi kumbe sio ni tatizo jengine
 
Kama ni fangasi kwel paka jelly ya aloe vera lakin uwe unapaka kuanzia mbali kidogo ya sehem iliyoambukizwa unashuka had sehem husika. tumia hadi tatizo liishe kabisa
 
Back
Top Bottom