engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Huyo Mataka kila shirika alilokaa ameua nadhani sasa anaelekea kuua his own family
no sasa anakwenda kuua mahakama
Huyo Mataka kila shirika alilokaa ameua nadhani sasa anaelekea kuua his own family
Basi basi inatosha..Mi nasema hii nchi tunaongozwa na waseng kuanzia rais mpaka vibaraka zake wa ccm PUMBAFUUUUUUU KABISAAAAAAAAAAAAAAAAANGALIA KUNA ******* MMOJA ANATUMIWA NA MTOOTO WA RAIS KACHUKU FLOOR NZIMA PALE ATCL UKIMWONA UNAWEZA HISI ANA FEDHA KUMBE...AMEFIKIA HATA GARI ZAKE AWEKI BIMA WALA AKATI TRA NAFIKIRI ...NAKWAMBIA HAWA MBWA UNAWAKAMATA UNANYONYA MAFUA MPAKA YANASEMA BASI UNPITISHA KWENYE MASHINE NA UNAHAKIKISHA AKIKATWA SHINGO HATA KAUPANDE KASISHIKANE KAKIANGUKA MAGARIBI MWILI UKO KUSINI
amuulize yaliyompata defao kwa david mataka, alishindwa hata kurejea kwao kwa wakati, (the david cameron!!)siku moja yule kilaza kibonde alimsifia sana mattaka kwamba amefanya kazi na mamake na amefanya mambo makubwa npf na atcl sijui ataweka wap uso wake mzee wa kujipendekeza
....Kibonde aibuuuuuuuuuuu, shame on you kwa kupapatikia watu!!!!! shida ya kuajiri waandishi vilaza "Clouds redio ya wafu"amuulize yaliyompata defao kwa david mataka, alishindwa hata kurejea kwao kwa wakati, (the david cameron!!)
ccm mtavuna mlichopanda. Huyu mtu amefilisi makampuni halafu mkuu wa kaya anamteua kuongoza ATC huu si upuuzi wa kupita kipimo. Tunafahamu hii kesi haitaenda popote lakini wale waipendao ccm haya ndio madudu mnayoyapenda. Hii nchi ina vituko!!!!
Huyo Mataka kila shirika alilokaa ameua nadhani sasa anaelekea kuua his own family
kama liyumba tu hii, kwani liyumba sasa hivi yuko wapi?
acha kutetea usichikijua PPF alitoka kwa aibu kubwa lakini bado swahiba wake akambeba ma uchafu ule ule, hata leo anamnukia mikononiMnamsingizia dobi tu kumbe kaniki ndio rangi yake. Kila shirika alilokaa aliliua una facts na hii hoja? PPF ipo! Hivi Matakka ndio aliliuza shirika kwa Makaburu? Hivi manakumbuka wakati analichukua shirika lilikuwa katika hali gani?
Mnamsingizia dobi tu kumbe kaniki ndio rangi yake. Kila shirika alilokaa aliliua una facts na hii hoja? PPF ipo! Hivi Matakka ndio aliliuza shirika kwa Makaburu? Hivi manakumbuka wakati analichukua shirika lilikuwa katika hali gani?
kwani alimfanya nini defao?
hii thread inanichanganya, kwani kuna uhusiano gani kati ya matak, masaburi, kameruni, atcl, na defao?:lol: