too late wakati wakifmikisha a kutoka kwa dhaman ya million 20 ..serikali imepanga kulipa kampuni iliokodishwa na atcl ya airbus sh billion 22 kwa kuwekeza deni lake wakati ndege aipo, katika malipo yaliokuwa yakilipwa kwa mwekezaji huyo wa atcl doller 360,000 alikuwa akpokea doller 260 ,000 kwa mwezi na zingine zilikuwa zikiingizwa katika account ya wakubwa watano wa ATCL,na wengine wizaraba mpaka mwekezaji alipogoma kutoa kiasi hicho na hazina wakasimamisha kuendelea kumlipa kwa upumbavu bila kujua alishasaini mkataba naoPamoja na hayo nasema too late maana katika mgao huo wa billion 22 wamo DAVID MATTAKA/baadhi ya Viongozi wa ATCL na aliekuwa mmoja wa mawaziiri wa mbiundo mbinu pamoja na katibu mmoja ambae anaendelea na cheo chake..hii nchi ishaoza watu kama hawa china wanakata shingo wanaita ndugu waje kuangalia wakati akitoa macho na hata mwili uwapi...nchi chafu kabisa PAN AFRICan WANAIBA BILLION 78 ALAFU WANASEMA WATAZIRUDISHA ZILICHUKULIWA KIMAKOSA UHANITHI MTUPU