Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Habari fupi nilizozipata punde zinasema ni kwa ubadhirifu wa ATCL na amepata dhamana
ukiona hivyo ama ni soja ama ana pampas tayari sio hivi hivi kumdiscuss huyu bana inaitaji neemawewe uliyeweka thread hii huogopi, akikusikia mwenyewe atakukameruni shauli yako
umejisahau na bantuhii thread inanichanganya, kwani kuna uhusiano gani kati ya matak, masaburi, kameruni, atcl, na defao?:lol:
.................. kabisaaaa !too late wakati wakifmikisha a kutoka kwa dhaman ya million 20 ..serikali imepanga kulipa kampuni iliokodishwa na atcl ya airbus sh billion 22 kwa kuwekeza deni lake wakati ndege aipo, katika malipo yaliokuwa yakilipwa kwa mwekezaji huyo wa atcl doller 360,000 alikuwa akpokea doller 260 ,000 kwa mwezi na zingine zilikuwa zikiingizwa katika account ya wakubwa watano wa ATCL,na wengine wizaraba mpaka mwekezaji alipogoma kutoa kiasi hicho na hazina wakasimamisha kuendelea kumlipa kwa upumbavu bila kujua alishasaini mkataba naoPamoja na hayo nasema too late maana katika mgao huo wa billion 22 wamo DAVID MATTAKA/baadhi ya Viongozi wa ATCL na aliekuwa mmoja wa mawaziiri wa mbiundo mbinu pamoja na katibu mmoja ambae anaendelea na cheo chake..hii nchi ishaoza watu kama hawa china wanakata shingo wanaita ndugu waje kuangalia wakati akitoa macho na hata mwili uwapi...nchi chafu kabisa PAN AFRICan WANAIBA BILLION 78 ALAFU WANASEMA WATAZIRUDISHA ZILICHUKULIWA KIMAKOSA UHANITHI MTUPU
Mi nasema hii nchi tunaongozwa na waseng kuanzia rais mpaka vibaraka zake wa ccm
Mi nasema hii nchi tunaongozwa na waseng kuanzia rais mpaka vibaraka zake wa ccm PUMBAFUUUUUUU KABISAAAAAAAAAAAAAAAAANGALIA KUNA ******* MMOJA ANATUMIWA NA MTOOTO WA RAIS KACHUKU FLOOR NZIMA PALE ATCL UKIMWONA UNAWEZA HISI ANA FEDHA KUMBE...AMEFIKIA HATA GARI ZAKE AWEKI BIMA WALA AKATI TRA NAFIKIRI ...NAKWAMBIA HAWA MBWA UNAWAKAMATA UNANYONYA MAFUA MPAKA YANASEMA BASI UNPITISHA KWENYE MASHINE NA UNAHAKIKISHA AKIKATWA SHINGO HATA KAUPANDE KASISHIKANE KAKIANGUKA MAGARIBI MWILI UKO KUSINI
mbaya zaidi anahama analeta na gashara lake limuendeshe bila interview aliposhtukiwa sijui alihamishwa wapi,..msikubali kukaa na dizaini hizi mnaingiza mapepo kwenye ajira zenumkuu umeongea kwa uchungu sana, huyu mataka ndie yule ambae wakati ule alishindwa kuendesha ppf na alituhumiwa kwa ubadhirifu mkubwa pale, eti baada ya siku chache ameteuliwa ceo atcl!!!. Zafafana hakika!! Too late!
too late wakati wakifmikisha a kutoka kwa dhaman ya million 20 ..serikali imepanga kulipa kampuni iliokodishwa na atcl ya airbus sh billion 22 kwa kuwekeza deni lake wakati ndege aipo, katika malipo yaliokuwa yakilipwa kwa mwekezaji huyo wa atcl doller 360,000 alikuwa akpokea doller 260 ,000 kwa mwezi na zingine zilikuwa zikiingizwa katika account ya wakubwa watano wa ATCL,na wengine wizaraba mpaka mwekezaji alipogoma kutoa kiasi hicho na hazina wakasimamisha kuendelea kumlipa kwa upumbavu bila kujua alishasaini mkataba naoPamoja na hayo nasema too late maana katika mgao huo wa billion 22 wamo DAVID MATTAKA/baadhi ya Viongozi wa ATCL na aliekuwa mmoja wa mawaziiri wa mbiundo mbinu pamoja na katibu mmoja ambae anaendelea na cheo chake..hii nchi ishaoza watu kama hawa china wanakata shingo wanaita ndugu waje kuangalia wakati akitoa macho na hata mwili uwapi...nchi chafu kabisa PAN AFRICan WANAIBA BILLION 78 ALAFU WANASEMA WATAZIRUDISHA ZILICHUKULIWA KIMAKOSA UHANITHI MTUPU
Usanii mtupu nchi yetu imekwisha, ndio maana tunahitaji kataiba mpya makini itakayo wabana majambazi hawa aina ya Mataka wako wengi serikalini!!!!!!!. Katiba itakayo kuwa na uwezo wa kupeleka watu lupango sio lelemama, hawa watu hawaogopi maana vyombo vyote vya dola ni mali yao!!!!!!!!!! Tunahitaji mabadiliko nchi iwe na heshima na maadili, watu waiogope serikali bila kujali yeye ni nani, na Raisi aogope katiba ya nchi, non will be above the law!!!!!!!!!!Mataka alipata promo ya hali ya juu na clouds fm siku anachukua hicho kibarua na alijigamba sana mpaka nikaona huyu ndiye mwokozi kumbe hana chochote, hizi elimu zetu sijui magraduate wengi wa mlimani wanaharibu nchi.
Siku moja yule kilaza kibonde alimsifia sana mattaka kwamba amefanya kazi na mamake na amefanya mambo makubwa npf na atcl sijui ataweka wap uso wake mzee wa kujipendekeza