Hongera sana mkuu Kafulila david kwa kufunga ndoa takatifu na mtoto mkareee sana.
Baada ya kazi nzito ya kukamta majizi ya pesa za wananchi katika akaunti ya ESCROW, hatimaye mkuu kafulila aamua kujipongeza kwa kuvuta jiko lake la kitambo kirefu. Ila usisahau na ile ishu yetu ya ESCROW.
Picha:
Bwana Harusi David Kafulila akiwa na msimamizi wa ndoa yake Deo Filikunjombe na marafiki zake David Silinde na Mwam.