David Kafulila ajivua uanachama CHADEMA

David Kafulila ajivua uanachama CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Teh teh teh
Mbowe anaijua kweli intelenjesia, ha ha ha ha ha huo ni msimiati mkubwa sana kwa mbowe labda amtafute mwafrika ama masanilo ampe maana yake.

msimiati tena, wewe sasa unaniangusha
 
Si unajua Mwenyekiti Mbowe bado anajilipa "madeni" yake, shamba la bwana kheri na Mbuzi wa bwana kheri!

Unataka kudai kuwa zile pesa rostam alikwapua benki kuu ni madeni yake alikuwa anajilipa. Madeni yepi hayo?
 
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!

Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwi tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.

Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!

1. Naomba nipe jina la mwanasiasa ambaye kwake siasa siyo njia ya kuingiza pesa, hapa nchini Tanzania.
(a) Kama una kiri kuwa mlio ndani ya Chadema ni wenye mapenzi ya kweli na hamko kwa ajili ya pesa unakiri waz wazi kuwa; kumbe kweli matumizi ya RUZUKU hayapo wazi, na ni kweli tajiri Mbowe ndiye anakiendesha chama!
(b) Kwa hali za watanzania, mmeshindwa kuweka vitega uchumu muwalipe wafagizi na mamesenja, hao wote mnataka wafanye bure,
(c) kwa hali hiyo mmeshindwa kukifanya Chama kuwa cha wananchi, bali cha mabepari wachache

Tuhuma za matumizi mabaya na uficho juu ya pesa, hazikuanza leo wala jana ndugu Kitila, Wangwe alilalamika, Kafulila, wanachadema mikoani wanalalamika! ''hapa umetekwa Dr.''


2. Kama hayo hapo juu hayatendeki vizuri, Chadema siyo TAASISI, dont fool yourself Lecturer mwenzangu!

3. Kafulila mko naye Chadema, unamfahamu vizuri, Dr.Kitila hayo hapo juu KWELI IS THIS THE RIGHT PLACE TO SAY,KAFULILA BYE! si unathibitisha huyu dogo alikuwa hana amani, kumbe si na Mbowe tu bali na wewe!

Kama ungemjali na kweli kumtakia mema pasipo unafiki, ungemtafuta, mpigie simu, mtumie e-mail nenda kwake, siyo kusemea humu, Dr! what happened with you!!

It will take time for Chadema to clear these issue, believe me
 
1. Naomba nipe jina la mwanasiasa ambaye kwake siasa siyo njia ya kuingiza pesa, hapa nchini Tanzania.
(a) Kama una kiri kuwa mlio ndani ya Chadema ni wenye mapenzi ya kweli na hamko kwa ajili ya pesa unakiri waz wazi kuwa; kumbe kweli matumizi ya RUZUKU hayapo wazi, na ni kweli tajiri Mbowe ndiye anakiendesha chama!
(b) Kwa hali za watanzania, mmeshindwa kuweka vitega uchumu muwalipe wafagizi na mamesenja, hao wote mnataka wafanye bure,
(c) kwa hali hiyo mmeshindwa kukifanya Chama kuwa cha wananchi, bali cha mabepari wachache

Tuhuma za matumizi mabaya na uficho juu ya pesa, hazikuanza leo wala jana ndugu Kitila, Wangwe alilalamika, Kafulila, wanachadema mikoani wanalalamika! ''hapa umetekwa Dr.''


2. Kama hayo hapo juu hayatendeki vizuri, Chadema siyo TAASISI, dont fool yourself Lecturer mwenzangu!

3. Kafulila mko naye Chadema, unamfahamu vizuri, Dr.Kitila hayo hapo juu KWELI IS THIS THE RIGHT PLACE TO SAY,KAFULILA BYE! si unathibitisha huyu dogo alikuwa hana amani, kumbe si na Mbowe tu bali na wewe!

Kama ungemjali na kweli kumtakia mema pasipo unafiki, ungemtafuta, mpigie simu, mtumie e-mail nenda kwake, siyo kusemea humu, Dr! what happened with you!!

It will take time for Chadema to clear these issue, believe me

Unaweza kuweka pia matumizi ya chama chenu cha ccm?
 
Pombe za bure mbaya mpaka unakosa akili..unatetea wavunjifu wa democrasia...lol

ha ha ha,

sikujua kama unazimiss pombe za bilicanas. Sasa, bado una mpango wa kupiga marufuku baa zote za Tanzania (nchi ikishageuzwa na kuya ya kiislam - Tanzanistan)?
 
ha ha ha,

sikujua kama unazimiss pombe za bilicanas. Sasa, bado una mpango wa kupiga marufuku baa zote za Tanzania (nchi ikishageuzwa na kuya ya kiislam - Tanzanistan)?
Nakuhofia wewe ambaye bila mbowe (billicans na pombe za bure huwezi kuishi)...lol endelea kumtetea huyo kilaza wako na chama chenu ...akili ndogo
 
Nakuhofia wewe ambaye bila mbowe (billicans na pombe za bure huwezi kuishi)...lol endelea kumtetea huyo kilaza wako na chama chenu ...akili ndogo

naona mate yamekutoka kweli kila mara ukitamka pombe za billicanas. Inaonekana unataka niendelee na ile story kati ya Tumaini na Ohsamdan.

*** wakati huo huo, gari la kusambaza bia za ndovu linapita ***

Ohsamdan (huku mate yakimdondoka) --- afhrrrffghrjhgjf
Tumaini --- nini tena?

Ohsamdan --- wewe acha tu

*** itaendelea ***
 
MWafrika
CHADEMA si mda mrefu inapigwa bao na TLP.Amini nakuambia
 
MWafrika
CHADEMA si mda mrefu inapigwa bao na TLP.Amini nakuambia

Hata mimi ningekuwa raia wa porrrrrraandi ningeipigia kura TLP badala ya chadema. Kwanza wanachadema wengi hawajui kiporishi kama wana TLP. Hiyo ni sababu tosha kabisa ya kuwanyima kura chadema.
 
naona mate yamekutoka kweli kila mara ukitamka pombe za billicanas. Inaonekana unataka niendelee na ile story kati ya Tumaini na Ohsamdan.

*** wakati huo huo, gari la kusambaza bia za ndovu linapita ***

Ohsamdan (huku mate yakimdondoka) --- afhrrrffghrjhgjf
Tumaini --- nini tena?

Ohsamdan --- wewe acha tu

*** itaendelea ***
Kwa mtindo huo wa kupenda pombe..lazima umtetea mbowe mpaka kufa..hongera unajua sana namna ya kuishi town..lol
 
Kwa mtindo huo wa kupenda pombe..lazima umtetea mbowe mpaka kufa..hongera unajua sana namna ya kuishi town..lol

*** baadaye Tumaini anapandisha sauti kwa hasira ***

Tumaini --- niache tu nini?

Ohsamdan --- mhh

Tumaini --- nijibu swali, hiyo tabia ya kupenda ndovu umeianza lini?
Tumaini --- ndovu haitakuwezesha kuishi town, safari ndiyo kiboko yao..

*** itaendelea ***
 
Hata mimi ningekuwa raia wa porrrrrraandi ningeipigia kura TLP badala ya chadema. Kwanza wanachadema wengi hawajui kiporishi kama wana TLP. Hiyo ni sababu tosha kabisa ya kuwanyima kura chadema.

Teh teh teh teh
amini na kuambia 2010 atakepata ubunge kutoka chadema ,huyo mtu hata angekuwa chama cha genge mkeni mitomingi angelipata ubunge.
 
*** baadaye Tumaini anapandisha sauti kwa hasira ***

Tumaini --- niache tu nini?

Ohsamdan --- mhh

Tumaini --- nijibu swali, hiyo tabia ya kupenda ndovu umeianza lini?
Tumaini --- ndovu haitakuwezesha kuishi town, safari ndiyo kiboko yao..

*** itaendelea ***
Pombe pombe eh endelea mzee wa pumba..lol akili ndogo
 
Kafulila, ana haki yake ya kwenda popote apendapo. Chadema si baba wala mama yake.
Sasa kelele zote za nini?
Mwacheni akatafute chakula maana hawezi kaa mjini bila kazi aliyoichezea mwenyewe.
mwisho utasikia yuko sisi m alikotokea baada ya kazi maalum. Najua hatakosa sababu za lawama ya hapa na pale.
Historia tu ndio itampiga chini.
kama wewe ulivyokwenda kuwavuruga CUF.HIVI UNAJUA HAPO ULIPO UMEKALIA KUTI KAVU?MWENZAKO AKINYOLEWA WEWE TIA MAJI.MBOWE NI DIKTETA NAWE IKO SIKU YAKO.UMEFIKIA WAPI KWENYE MCHANGO WA WAKILI.WEE JAMAAA KWA KUOMBA SIKUWEZI.
 
kumbuka "hako" kazee kana busara sana, ukishaanza kejeli bila hoja ya msingi "hakatokujibu"

by the way ni kama baba yako kwanini haumweshimu?, kutofautiana kiitikadi za kichama hakumfanyi mtu aache kuheshimu mila zetu za kiafrika.

Jadili bila jazba na kejeli, nawe utajibiwa.
heshima ni kwa pande mbili siwezi kukaheshimu kazee haka kwa ubakaji wa demokrasia kalioufanya.kamemzuia zitto na sasa kamemfukuza kafulilla.siwezi kukaheshimu milele.samahani ndugu yangu.
 
Unaweza kuweka pia matumizi ya chama chenu cha ccm?

Mwafrika ndugu yangu, yaani kila anayeipa ushauri Cahdema, anayeikosoa basi ni mwana CCM! pole we!

Mwafrika hakuna chochote ninachojifunza kutoka kwako humu JF tangu nimeanz kusoma post zako, hakuna!

Ninapoingia JF kutoa hoja, naamini kuna intelectual some where in this planet who will answer my questions.Wewe kila siku ni matusi, fujo, haujibu hoja, ili mradi kutetea Chadema kama kipofu.Kwenye maswali makali na magumu hauonekani, ila kwenye mijadala ya watu 'unashinda hapo'

Sijawa wa kwanza au wa pili, I have seen many people pointing fingers to you! mkuu haubadiliki? lini basi brain yako itaweza kuondoa integument na angalau kunusa harufu ya 'intelectualism' ili utufundishe na kutuonya tunapokosea. na kwa namna nyingine utakuwa unafulfill lengo la JF!

Just imagine mtu anakuja kusoma pumba zako hapa, mkuu aibu hii

Kuna wakati huwa nawaza kuwa, inawezekana ni houseboy wa Mbowe na mbowe anakupa fedha kwa makusudi ili uje kuharibu mijadala humu!

Haiwezekani, wala haiingii akilini kuwa , hata mtu anapotoa ushauri wa wazi kabisa kwa lengo la kuwasadia Chadema-unatukana!

Hujajua kuwa mpaka Chadema inajadiliwa hivi ni chama kikubwa na inabidi nyie wanachama damu mkilinde kwa kujibu hoja na kufafanua baadhi ya vitu watu wasivyovijua!

Kama wewe tu mwanachama huko hivi, Mbowe je!!!! kuna uwezekano kabisa Chadema ni ubabe tu kwenda kwa mbele, si tunaona humu

Sijamuona mwanachama yeyote wa Chadema mbali ya Zito anayejibu maswali na hoja.

Hivi unayafanya haya kwa faida ya nani? Chadema au taifa?

Unapoeleka uchaguzi mbona utapata ugonjwa wa moyo mkuu, wengine hatuna hasira! siwezi nikamkasirikia mtu nisiyemwona! LOL!

You need to see Dr, akusaidie kuhusu anger management, kisha kaa chini jifunze. Watu wana uwezo wa kuanzisha thread za Chadema humu kila siku na wakatukana , lengo tu kukupandisha hasira. You are nothing than a blind slave!

I hate CCM. Ila sitaki kufuata mkumbo wa Chadema; though I like this party

Mpaka leo ishu za ruzuku,ukabila, ufamilia, demokrasia chafu, hazijapata majibu.Tulisema wee kafulila huyo anaondoka, unafikiri amewarudisha nyuma kiasi gani?

Ukitukanana na mimi humu haisaidii, tell them the truth ili wajirekebishe wakashinde uchaguzi! mimi kura yangu haitoshi.Kushinda humu na kututukana sisi wala haku wasaidii Chadema, bali kunawadanganya.

Kama hutaweza kusema haya na kumweleza Mbowe, huoni nakuwa na wasiwasi na wewe mkuu, you can agree everything?? you can say Yes tu everything without objection or opinion? I doubt

Hii post unaruhusiwa kusema chochote kile! uwanja wako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom