Hivi mbona mnaisakama sana CHADEMA..si na wewe uanzishe chama chako ...ndio kafukuzwa na kama ni NGO ya Mbowe then what??nenda chama ambacho sio NGO ya mtu..
Huyo ni maji ya kijani. Ana chama chake hapa. Ni ccm damu damu na sasa wanatafuta namna ya kumfuta Mengi uanachama.