Two Eyes
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 1,010
- 729
Kakataa kuwa mnafiki wa kuyasafisha mafisadiMpaka raha mkuu
Kakataa kuwa mnafiki wa kuyasafisha mafisadiMpaka raha mkuu
Kafulila hana ela hata ya chakula thts why mwanamme asiejiamini na ni mnafiki na mzandiki
kama vile Lowassa, nyarandu,kingunge,et allMkuu hata kama ana hoja ya msingi, kikubwa hana principles in life
Kafulila ni kama kahaba kila mwanaume akipita anamtolea macho
Kafulila is a coward na anatumia rear view mirror kusukuma maisha yake
hoja za msingi ni kwa mujibu wa "akili" yako bro..hongera zake ni haki yake, nasisitiza, asibezwe, ana hoja za msingi.
Paskali
..Lau Masha hapa chini.
..
..Lau Masha hapa chini.
..
hata haoni aibu aisee?
..sasa alikuwa anaogopa nini kusema anahamia CCM?
..hata Lau Masha naye ilikuwa hivyohivyo.
..mtu anaulizwa zaidi ya mara 5 kama anahamia ccm lakini anakwepa kujibu.
..ni kama watu wanaona aibu kwa maamuzi yao.
kaka henzi zetu siasa ilikua wito. lakini sasa hivi siasa ni ajira nono kaka ukitaka kutoka haraka kimaisha basi siasa ndiyo jumbani yake.Hii itakuwa sawa tu kama uhamuzi wake ulikuwa ni wa hoja alizozitaja lakini kama nyuma ya pazia ni msukumo na ushawishi wa maslahi binafsi,madaraka,fedha bac hoja zake itakuwa ni gheresha
Nakazia.hongera zake ni haki yake, nasisitiza, asibezwe, ana hoja za msingi.
Paskali
You live in the past old timers.kaka henzi zetu siasa ilikua wito. lakini sasa hivi siasa ni ajira nono kaka ukitaka kutoka haraka kimaisha basi siasa ndiyo jumbani yake.
Mbona bado ccm mnakuwa na mawazo finyu wapo wabunge kibao kutoka makabila ttofauti kutoka chademaChagadema kwisha
wewe mayalla naona unatafuta ukuu wa wilaya kwa bidii kweli hivi ccm hii kweli ni kuishangilia kweli mayala ni njaahongera zake ni haki yake, nasisitiza, asibezwe, ana hoja za msingi.
Paskali
Wanatuzuga tu hawana lolote...mchana watakandiana usiku watahesabu kila mtu kaleta ngapiWale huku na huku