David Kafulila ajiunga rasmi na CCM huko Mbweni jijini Dar

David Kafulila ajiunga rasmi na CCM huko Mbweni jijini Dar

hongera zake ni haki yake, nasisitiza, asibezwe, ana hoja za msingi.

Paskali
Sisi wengine kuna fursa zaidi tunaziona.

FB_IMG_1511529935202.jpg
 
hongera zake ni haki yake, nasisitiza, asibezwe, ana hoja za msingi.

Paskali
Mkuu kwa Kafulila lazima abezwe sana tu..

Kama mkewe tu kambeza kwa kiwango kile sembuse wananchi wa kawaida..!?

Yote yale ya ovyo which Kafulila have been fighting for bado yana exist tena kwa kiwango kikubwa ndani ya CCM..

Vita gani ya ufisadi iliyopiganwa ndani ya CCM tumeiona??

Kesi ngapi zimehukumiwa za ufisadi na utawala huu??
Yaa Lulu??

Wote aliopambana nao kwenye issue ya Escrow they are peacefully breathing there at CCM..

Completely there's no remarkable changes on good governance, corruption and Democracy in this government..

Poor Kafulila.
 
David Kafulila amejiunga na CCM leo Mbweni jijini Dar na kukabidhiwa kadi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole. Hii inathibitisha na kuhitimisha mawazo ya wengi kua Bwana huyu alijitoa Chadema ili Kujiunga na CCM.
View attachment 637181
Polepole ameuita huu ni Usajili, ila navyojua anaesajiliwa lazima apewe chochote kitu. Nilidhani kua Biashara ya Ununuzi wa Binadamu ilishakufa enzi za Ukoloni, kumbe imerudi kwa jina jingine la "usajili".

Viva Tanzania ya Viwanda

Kumbe hata ununuzi wa akina Neymar hufuatilii, ant social mkubwa wewe!
 
Back
Top Bottom