radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Labda kuna mtu kamwambia kua wamekimbilia CDM
Haahhahhaaa
Labda kuna mtu kamwambia kua wamekimbilia CDM
Kilamtu anapambana na hali yake. Pambana na hali yako.David Kafulila amejiunga na CCM leo Mbweni jijini Dar na kukabidhiwa kadi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole. Hii inathibitisha na kuhitimisha mawazo ya wengi kua Bwana huyu alijitoa Chadema ili Kujiunga na CCM.
View attachment 637181
Polepole ameuita huu ni Usajili, ila navyojua anaesajiliwa lazima apewe chochote kitu. Nilidhani kua Biashara ya Ununuzi wa Binadamu ilishakufa enzi za Ukoloni, kumbe imerudi kwa jina jingine la "usajili".
Viva Tanzania ya Viwanda
Mmh hoja za msingi wapiii pascal unapenda kutetea hata visivyotetekahongera zake ni haki yake, nasisitiza, asibezwe, ana hoja za msingi.
Paskali
Kwani vipi bado mlikua mnamuhitaji!David Kafulila amejiunga na CCM leo Mbweni jijini Dar na kukabidhiwa kadi na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole. Hii inathibitisha na kuhitimisha mawazo ya wengi kua Bwana huyu alijitoa Chadema ili Kujiunga na CCM.
View attachment 637181
Polepole ameuita huu ni Usajili, ila navyojua anaesajiliwa lazima apewe chochote kitu. Nilidhani kua Biashara ya Ununuzi wa Binadamu ilishakufa enzi za Ukoloni, kumbe imerudi kwa jina jingine la "usajili".
Viva Tanzania ya Viwanda
Alishajiunga toka siku alipotoka Chadema.
HahaaaaaTumbili, kumbe Werema alishamuona! Tumbili anafukuza mahindi popote yalipo!
Pesa ilikuwa bado haijaingizwa kwenye account yake...sasa alikuwa anaogopa nini kusema anahamia CCM?
..hata Lau Masha naye ilikuwa hivyohivyo.
..mtu anaulizwa zaidi ya mara 5 kama anahamia ccm lakini anakwepa kujibu.
..ni kama watu wanaona aibu kwa maamuzi yao.
Alikuwa hajakabidhiwa advance, baada ya kutekeleza awamu ya kwanza..sasa alikuwa anaogopa nini kusema anahamia CCM?
..hata Lau Masha naye ilikuwa hivyohivyo.
..mtu anaulizwa zaidi ya mara 5 kama anahamia ccm lakini anakwepa kujibu.
..ni kama watu wanaona aibu kwa maamuzi yao.
Hakika imependeza kwenda kumjoin Mnyeti.hongera zake ni haki yake, nasisitiza, asibezwe, ana hoja za msingi.
Paskali
Baada ya kukosa makinikiaMpaka raha mkuu
Baada ya kukosa makinikia?Mpaka raha mkuu