David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

hoja ya lipumba itapata pa kushikia.

awali alitimuliwa, je ameshajirekebisha?


mwisho kwa maoni yangu angesubiri mwenzie apone then ndo aame chama.
 
Kuna kitu unachanganya nadhani unamfananisha Joyce mukya aliyezaa na Mbowe na Tulia Ackson.Hao ni watu wawili tofauti
Namaanisha dada mkuu kutoka mjengon pamoja na kuwa na sura kama tofali stil ana mume imagine how much do wanaume have huruma wanatia yyt tu ashakumsi matus
 
Kafulila ahama NCCR, ahamia Chadema
Dar es Saam. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama hicho huku akieleza kuwa anajiandaa kuhamia Chadema.

Kafulila alithibitisha taarifa hizo na kusema tayari ameshawasilisha barua ya kujivua uanachama wa NCCR na kujiunga Chadema leo.

“Nimewashukuru kwa kuwa pamoja katika kujenga chama na nafasi ya uenezi waliyonipa mara zote. Nimeweka wazi kuwa natarajia kujiunga na Chadema. Nimeona kuwa kuna mahitaji ya watu wenye nia ya mabadiliko kuwa katika chama kimoja ili kufupisha safari.” alisema

View attachment 446944

SOURCE: Mwananchi

Kabla ya NCCR, Kafulila alikuwa mwanachama wa CHADEMA. Habari. zaidi soma=>David Kafulila ahamia NCCR Mageuzi akitokea CHADEMA
ameamua kufuata ufisadi na watuhumiwa wa ufisadi. Kweli njaa jamani ni mbaya. No matter what. ameshapotea katika siasa kwa maamuzi haya. Ni bora angebaki bila chama
 
Kafulila ndio saizi yake kuwa Chadema., ata ivyo amecherewa sana kujiunga
 
Msaada tafadhari wanaosika na utoaji was leseni famigation ofisi zao hupatika wapi?
 
Hana pakula sasa inabidi awe anamfata mkewe popote alipo kwenye siasa asa za chadema
 
hii thread ingekuwa amehamia ccm ungesikie mara njaa mbaya, mara usaliti mbaya lakini kwa kuwa ataenda chama pendwa atapongezwa
ni kweli mkuu hata wewe hapo angehamia ccm ungemsifia sana sifa kedekede hata hasizokuwa nazo lakini kwasababu amehamia cdm unamponda lakini sishangai miafrika ndivyo tulivyo
 
Kaenda kwa mkewe, sioni kama ita muimarisha yeye kisiasa bali ita msaidia mkewe zaidi.

Halafu kama wote NCCR na CDM ni UKAWA kuna haja gani ya Kafulila kuhama!? Au ndio umoja wa mashaka wenyewe!!
Amesema watu wenye nia mojaya mabadiliko wake chama kimoja ili kufupishasafari hujui kusoma?
 
Ban yake ya kufukuzwa ime xpire na sasa anaruhusiwa. Vipi Lipumba kurudi iwe nongwa?
 
lakini ngoja tuangalie anataka kufanya nini?
kwasababu hapo hatuwezi tukasema amehama ila amejisogeza.
 
~~~>>>Kutoka Chadema kwenda NCCR-Mageuzi kisha kurudi tena Chadema...

~~~~>>>Alikuwa mwanachama wa NCCR kwasababu za Ubunge tu ila hana mapenzi na NCCR...... Sasa hana ubunge kaamua kuondoka.
 
Back
Top Bottom